Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dom
Screenshot_20240229-004432_1.jpg
dom city center 👇
Screenshot_20240229-004450_1.jpg
kila leo Dom city center inazidi kuboreshwa
 
Wanuka nnya wanajifanya hawajaiona hii,😂😂 hii wala sio government city, 4 km away from city center
Screenshot_20240229-004156_1.jpg
Screenshot_20240229-004333_1.jpg
Screenshot_20240229-004037_1.jpg
Screenshot_20240229-004240_1.jpg
Screenshot_20240229-004217_1.jpg
Screenshot_20240229-003937_1.jpg
halafu hii hapa sasa ndio unyama wenyewe dog government city 17k. away from city center 👇
1706606459757.png
1745720348.jpg
-391039604.jpg
halafu kuna huu mtaa 9 km away from city center 👇
Screenshot_20231013-075228_1.jpg
.. residential area 9
 
Wait kwamba Daraja la Kigogo busisi kwako halifai WTF?

Hiyo SGR unajua imevutia investments ngapi, ambazo zingeenda Kenya ikiwa SGR yao ingefika Uganda?

Hopeless kabisa.

For your information hizo ndio strategic kabisa zote unazokataa sio kujaza nchi nzima mabango ya nani kama mama
Wanatumia pesa nyingi Sana kumtangaza Yani nastaajabu nchi hii kuna watu wanalipwa KAZI Yao kumsifia mama🤣🤣🤣

Sijapata kuona 🙌🙌🙌🙌🙌

Afanye KAZI Tu siku zote kizuri kitajiuza Tu bila ya matangazo
 
That's why nasema I doubt your level of education and reasoning capability.
Watu wanaovuka kuja upande wa pili ni wananchi wa hand to mouth na biashara zao nyingi huzifuata ama kuzifanyia ng'ambo.
Kivuko cha kisasa cha kutembeza watu 30+ kilometa?
Sehemu ambayo mzunguko wa kiutaftaji ni mara kwa mara?!
Pindi kivuko kama cha MV.Magogoni kikibeba round ya kwanza kinaacha mamia ya raia ng'ambo wakiwaza na kuwazua kinarudi saa ngapi ili nao wavuke kwenda kufanya shughuli zao za kipato.
Unataka zitandazwe rami kwanza kesha uache wananchi wakitaabika katika suala la kuendea shughuli za kiuchumi???
Unatakiwa urudi darasani aisee.
Pia ondoa ujinga TZ mji pekee uliojengwa kwa mipango miji ni MWANZA labda Dodoma ndio itakuja kuipiku kwasababu ni mji wa kiserikali.
Ila kimipango miji kwasasa HATA DAR HAIJAJENGWA KIMPANGILIO KUIZIDI MWANZA nimefika.
Don't waste your time bro.
 
Wanuka nnya wanajifanya hawajaiona hii,😂😂 hii wala sio government city, 4 km away from city centerView attachment 2920128View attachment 2920129View attachment 2920130View attachment 2920131View attachment 2920132View attachment 2920133halafu hii hapa sasa ndio unyama wenyewe dog government city 17k. away from city center 👇View attachment 2920138View attachment 2920139View attachment 2920140halafu kuna huu mtaa 9 km away from city center 👇View attachment 2920143.. residential area 9
ohhh...ohhhh....lakini wapi


View: https://youtu.be/568ekKd0-Nk?si=eSyFcQnwoSElVTuo
 
Yaani nyumba ya diamond imejaa cabro za petrol station all over!!!!
Kenya started this trend and they copied but in a primitive way…🤣🤣🤣… We always lead they follow… remember when they demanded SGR after we did ours but inferiority complex made them force an electrified line… ( not bad play)… but it’s a game of let’s wait and see how this Dar- Moro line performs …. Regardless Bongo will always play second fiddle to Kenya…
 
Back
Top Bottom