Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uzuri watanzania bana kwenye kuchangamkia fursa huwa tupo vizuri na ndio maana labda wengi wanalizwa na miradi binafsi kama ile ya vanilla sijui mr kuku, mara JATU, zamani DECI etc hii inaonesha watanzania tunachangamkia fursa sana na hili la apple sababu lipo international zaidi, wakundustan wategemee kuziona apples za Tanzania kwenye shelves zao muda so mrefu


View: https://x.com/tamutamutanzani/status/1759521021021839427?t=mAUMqV4sbkM3BIuPtW5SBw&s=19

We are hardworker,soon kwenye sekta ya biashara china tutaihamishia TZ na sekta ya kilimo tutalisha afrika yote halafu kuna wasafisha vyoo vya waarabu uwa wanadai sie ni malazy na bado tunawalisha na sasa hivi tunawavisha,kunyan wamejaa kkoo kwa handbag za kinamama,abaya na madera,kkoo ndio china yao sasa hivi
 
Please post the supporting document here, I’m sure hapo Buxton either ulienda kutembelea mtu ama ulienda tu kuzubaa hapo kwa gate. Wewe ulikuwa unaishi Bangladesh.

Please post accommodation receipt here.
Alienda na Ndege ama alipewa lift na pastor 😂😂😂
 

View: https://twitter.com/HusseinBashe/status/1813166961951453533?t=UPQSjRwKemcb68yK-RiExw&s=19
20240716_153044.jpg
20240716_153808.jpg
 
Back
Top Bottom