Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Last time kula kwa kibanda ni 8 years ago nikiwa chuo.
Sio wewe huwa unatunza risiti za kula chakula na kupost humu! 😂😂😂
Jifunze tofauti ya risiti na statements. This is a statement not a receipt, but how can you know when your work is picking bank slips kwa barabara😂😂

Screenshot_20240716-182442_1.jpg
 
Unajua maana ya receipt wewe chokoraa? Hii picha hata mtu homeless anaezachukua.

Kama huna basi tuonyeshe prove of payment. Any kind of message, na hujue Buxton hakuna mambo ya cash so usitudanganye.
Yann mm niweke inanisaidia nn au inaniongezea pesa ??😂😂😂😂 Eti nihifadhi receipt kisa nimelala Buxton apparments Yani sina ushamba huo vitu vya kawaida Sana kwangu chizi wewe, prove ya payment nimelipa cash 😂😂😂 kwenda uko nimelipa cash kwa owner wa appartment
 
Biggest mall in East Africa according to Tanzanians

1721144566124.jpeg


The real biggest mall in East Africa

1721144541643.jpeg
 
MPESA statement ni risiti? Najua umezoea kula kwa kibanda no wonder hampendi kuonyeshwa evidence😂😂😂.
Mpesa Kwan mm Ni mkenya ?? Kule nimetumia either WiFi au data roaming hata pale likoni nimetoa cash kwa MTU akanilipia kwa mpesa yake 😂😂😂😂😂😂
 
Mama anafanya ziara mikoani lkn sisikii watu wakiongelea.. au hajui kujibrand? au watu hawafuatilii hotuba zake?
 
Yani hata nimeshangaa SASA alitegema mm nitunze receipt za nn alaf zitanisaidia nn 😂😂
Buxton hakuna cash payment. So usitudangye ati hakuna any evidence supporting your staying in Buxton.😂😂
 
Najua Tanzania nzima only have 5 military helicopters, so hizi hasira zako peleka mbali.
Naona umetoka jela. Una pupa kama nzi maana nzi anaisha 7 days sasa anataka kumaliza kila kitu duniani in 7 days. Kumbe uko hai nilijua na wewe wamekutupa jalalani ndani ya kiroba.
 
So now u take all the stand alone buildings in the area including apartments n hotels to beat EACC! We call that desperation!
Acha kuropokwa mzee. Hiyo picha nimepost is only for the retail part of the mall. Whoever cheated you that hiyo small building ndio itakuwa the biggest in East Africa aliwapima akili.
 
Back
Top Bottom