Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,791
Serikali yao ipo hovyo sana kwenye kitengo cha dharura na maafa, hata mfe 100 kila mtu ataenda Kufanya emergency service binafsi, gharama za matibabu kwa majeruhi juu yako na gharama zote za mazishi, serikali haihusiki kwa chochote kuna vitu Tanzania tunatake for granted sanaSerikali ya Ruto ipo wapi? Imegoma kuopoa miili?
Sasa Ksh16,000 pia ni pesa ya kuringia mtu?😂😂😂 Fika Mtwapa uone hiyo pesa kidogo ikimalizwa na malaya mmoja within minutes.Pesa madafu, watu wanahangaika pesa hakuna kila kitu ghali, maisha magumu Vibaya mno
Sisi ndio tuko tunawalala kina dada
zake Teargas Don YF 😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 3023705
Mnuka nnyaa Karudi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Ksh16,000 pia ni pesa ya kuringia mtu?😂😂😂
Najua ulikuwa unatamani nikuwe banned milele, for your information I’m back like never before. Today I’m off so leo ni kuwapea tu mavichapo left right and center.Mnuka nnyaa Karudi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa wakenya jf hawawezi kuiacha kabisa, licha ya kupigwa ban lkn kakosa platform nyingine ya maana karudi tena huku huku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
All our projects are loans. Kenya sio nchi ya kubembeleza misaada like Tanzania.madaraja yoote na upanuzi wa bandari Mombasa Ukunyani ni msaada wa JICA unabisha?
Kuna tatizo kwani?Yani Rais anazindua bustani, serious? Aaahh jamani hii nini sasa 😂😂😂😂😂
Hio siku nilikua naondoka na ndio change ilikua imebaki mzee😂😂😂😂😂Sasa Ksh16,000 pia ni pesa ya kuringia mtu?😂😂😂 Fika Mtwapa uone hiyo pesa kidogo ikimalizwa na malaya mmoja within minutes.
kupigwa mnada ni mbaya zaidi
View attachment 3042683
Tanzania taking agriculture to the whole next level
View: https://x.com/tamutamutanzani/status/1812726346805547107?t=uukpuuV1-oZKx8hhK2GKTA&s=19
View: https://x.com/tamutamutanzani/status/1779124852240052726?t=UBXhXBKwyVVcbyXFuhFiKQ&s=19