The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Saaa unawezaje kuiacha New Amani stadium? Pia kuna uwanja unaitwa Mao Tsetung upo Zanzibar nao pia mda c mrefu utakuwa approved, ofcz tunategemea kuwa na 4 CAF approved stadiums ni suala la muda tu.Huwa mnasema mnazo tatu, Ile nyingine imenyang'anywa approvals?😂😂