Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunataka kuona zile fedha zakutisha ziliokopwa za lot 3,4 and 6 za SGR 😁😁😁😁😁😁

Ukipata any update let me know😁😁😁

SASA ni over 2yrs update ziko wapi???

Hope umeelewa what I mean, kama haturuhusiwi kukosoa mutuambie ili tuendelee kusifia kuona nchi sukari inafika elf kumi kwa kilo na bado waziri WA kilimo Yuko ofisini 😁😁😁😁😁😁
Zipi hizo zilizokopwa zinatisha? Ziweke hapa
 
Anatumia I'd nyingi humu, akipigwa ban hii anatumia ile, jamaa ni troll humu jf, nyuzi zote ndiyo yuko hivyo hivyo na ndiyo maana haupiti mwezi bila kupigwa ban, it seems jamaa bado haja mature hata kama ni mkubwa basi ni kubwa jinga.
Mimi ni mtu Maarufu jf,Kila mada ya siasa lazima wani tag ,nisipokuwepo jf inapoa 🀣🀣
 
Wakenya wasioni hii

1720770535143.png


## VS

1720770700188.png
 
Ngoja tuwape hawa nyangau darsa la football 😁
Kuna kunyan washasema hersi ni wa kwao
 
Hivi unajua huyo huyo muhindi ndiye anayemilika Port of Dar? Yani unashare yetu yenye tumegundua utapeli tukasimamisha wakati kwenu mmeuza Port, mmeuza BRT, mmeuza National parks na bado mnaendelea kuuza.
Kuuza ina maana mpya siku hizi. Ngoja nikupe elimu.
BRT kuna kitu kinaitwa DART hii ni mali ya serikali. Inamiliki njia na miundombinu yote ya mwendokasi. Halafu kuna UDART huyu ni mwendeshaji wa mabasi(serikali ina share kubwa) huyu analipia njia hela nyingi sana. Kwenye bandari naamini unajua umeamua tu kuzingua.
 
Kuuza ina maana mpya siku hizi. Ngoja nikupe elimu.
BRT kuna kitu kinaitwa DART hii ni mali ya serikali. Inamiliki njia na miundombinu yote ya mwendokasi. Halafu kuna UDART huyu ni mwendeshaji wa mabasi(serikali ina share kubwa) huyu analipia njia hela nyingi sana. Kwenye bandari naamini unajua umeamua tu kuzingua.
Unayaelewa haya ila yakitokea Kenya (Ambapo hayajatokea) unasema hiki kimeuzwa ila yakitokea Tanzania unaita waendeshaji?
 
Unayaelewa haya ila yakitokea Kenya (Ambapo hayajatokea) unasema hiki kimeuzwa ila yakitokea Tanzania unaita waendeshaji?
Unayaelewa haya ila yakitokea Kenya (Ambapo hayajatokea) unasema hiki kimeuzwa ila yakitokea Tanzania unaita waendeshaji?
Nilichofanya hapa ni kukueleza hali halisi. Hayo ya Kenya yakija nikakosea una ruhusa ya kuweka ukweli.
 
Back
Top Bottom