Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alikuwa Ethiopia na Sasa Yuko Guinea.

Hater watakwambia Sa 💯 anazulula sana 😁😁👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9RrhlsKVHe/?igsh=cW5kdmV0d3ZtYjJ6

My Take: Tegemeeni Mambo mazito kutoka huko.ikiwemo ushindi wa Ndungulile kuwa Mkurugenzi wa WHO Africa.

Wewe Khama Kama

Yani we jamaa Abdul na mama yake wanakulipa vizuri sana Ila tambua kabisa Huyo unaye msifia kwa ground hakubaliki kabisa

Usipoteze nguvu zako na asipojitafakari hii nchi 2025 kutatokea msuguano mkubwa sana
 

Screenshot_20240712_072241_WhatsApp.jpg

Hiki choo huko ukunyan kilijengwa kimejengwa kwa msaada pia
 
Wewe Khama Kama

Yani we jamaa Abdul na mama yake wanakulipa vizuri sana Ila tambua kabisa Huyo unaye msifia kwa ground hakubaliki kabisa

Usipoteze nguvu zako na asipojitafakari hii nchi 2025 kutatokea msuguano mkubwa sana
Hakubaliki na nani Sasa? Pili kwani lazima akubalike na Kila mtu? Tatu nani anaekubalika?

Mwisho hakuna anaenilipa,hao siwajui na Wala hawaninui ila nafurahia sana na nasikia sana Raha kuona Sa 💯 amefanya mambo makubwa kuwaziso wale mliokuwa mnawakubali na Yuko kwenye direction nayoipenda Mimi.

On top of that Chuki zenu,fitina zenu na majungu hayamzuii na Wala hayatafuta alama alizoweka Kwa namna yeyote.Au namna gani bwana hater?

Unadhani Mimi ni wale naweza mchukia mtu kisa ukabila? Dini au jinsia? Mimi nampima mtu kwenye delivery,mlete unaemkubali wewe tumlinganishe na Samia ndio iwe basis ila kama ni huo upuuzi wenu, endeleeni nao ila sitoacha ,mtukane,mnune,mjichekeshe au mnichukie hakuna anaenilisha.

Kazi iendelee 👇👇

View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1811635129493627004?t=kNWFEprCO2CsJjbzxvgW4Q&s=19

View: https://twitter.com/AnnaSarungi/status/1811634167693689039?t=4vPiwhoXWvT8Zfk9S12D2g&s=19
 
Back
Top Bottom