Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ukiona unasifiwa Sana basi Rudi chini ujitathamini kauli ya wahenga
Wacha umbumbumbu,wapi ukiambiwa kwamba hela zinakopwa Kwa Ajili ya lots ulizotaja?

My Take: Katika kitu kinanifurahisha na kunipa Raha ni kuona mnavyopata tabu na awamu ya 6 😁😁😁😁

Yule mwingine wa Umeme Yuko wapi? Alitumbuliwa au? 🤪🤪
 
Wacha umbumbumbu,wapi ukiambiwa kwamba hela zinakopwa Kwa Ajili ya lots ulizotaja?

My Take: Katika kitu kinanifurahisha na kunipa Raha ni kuona mnavyopata tabu na awamu ya 6 😁😁😁😁

Yule mwingine wa Umeme Yuko wapi? Alitumbuliwa au? 🤪🤪
Niambie mm hakuna mkopo WA hzo lot 3,4 and 6 😅😅😅😅😅

Au hatukukopa pesa kwa ajili hzo lots??😅😅

Yule WA umeme aliwekwa na Nani??
 
Ujinga ujinga tu mnaendeleza, tunakuangalia tunakuona kama chizi mana hakuna asiyejua kama awamu hii inatembelea nyota ya awamu iliyopita, unaposema Tanzania kinara kuuza nyama nje kila mtu anajua sababu ni nini, lkn unapoweka # eti sababu ya mama tunakuona mpuuzi mmoja tu hivi, hizo nyama kama si ndege zilizolazimishwa kununuliwa na Magufuli mngelepeleka na mata.ko yenu? Wacha upumbavu wewe post kitu huna haja ya kuweka siasa humu ndani, sisi tutakubali kwasababu tupo hapa kwa ajili ya Tanzania, wacha utoto.
Hivi hamna namna huyo tukamripoti kwa mods wampige pini kuingia kwenye huu uzi?
 
Ni upuuzi tu unaendelea mkuu, barabara haziishi miezi nenda rudi, huenda zisiishe mpaka 2030, alafu anakuja mpuuzi anaweka jengo moja la hospitali anaweka na # eti Samia kazi iendelee, hawa wasenge wachache ni wakupiga risasi.
Yale madaraja ya vingunguti,majumba 6 na gomes yashafunguliwa walihaidi 10 july kuyafungua yan jana?
 
Ni upuuzi tu unaendelea mkuu, barabara haziishi miezi nenda rudi, huenda zisiishe mpaka 2030, alafu anakuja mpuuzi anaweka jengo moja la hospitali anaweka na # eti Samia kazi iendelee, hawa wasenge wachache ni wakupiga risasi.
Barabara zipi ambazo haziishi? Kapindue basi ukishindwa meza misumali
20240622_105610.jpg
 
Back
Top Bottom