Kinjekitile Jr
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 592
- 1,698
ichoboy01 Yani kusema ukweli tunapaswa kumkataa huyu Mama na genge lake……..Hafai kutuongozaMikopo + tozo kila Kona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuendelee kusifia Sana kwa bidii
ichoboy01 Yani kusema ukweli tunapaswa kumkataa huyu Mama na genge lake……..Hafai kutuongozaMikopo + tozo kila Kona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tuendelee kusifia Sana kwa bidii
Fedha za mikopo plus Makusanyo yameimarika.
Mfano mdogo ni Mbeya 👇👇
View: https://youtu.be/_T8z0VKeyWs?si=Xz0OvwPoU5e_HjYh
View: https://www.instagram.com/p/C9KpB3hNz3C/?igsh=aDFxbWlpdHN4cWQ1
Hapo ni Halmashauri Bado TRA,Tume ya Madini na taasisi zingine
Hoji tuu utapata Kila kitu,nakuletea Moja baada ya nyingine👇👇Hapo hayo ni makusanyo ukitaka mgombane hoji matumizi
Kaka Okavango delta unaijua?? Halafu kwenye miundombinu ya camping wako mbali sana.Hvi botswana inaishinda nn Tanzania kwenye vivutio vya kitalii, Sijaona nchi Africa ya kushindana na Tanzania kwenye utalii ni vile hatuna ushawishi wakuonesha vivutio Tanzania
Kuna mahali tunakosea. Hii sio bahati mbaya.Wajua hawa Nala walihamisha headquarters from Tanzania to Kenya. 😂 😂
Tanzania is now a small office reporting to Nairobi.
Congratulations to this Kenyan company again for cementing the country as the region's Fintech capital.
View attachment 3038606
Kuna hospital gani ya Kanda ya Nchi hii ambayo inafanana na Mlonganzila?Ila hapo kulitakiwa kujengwa mradi wa kama Mloganzila ila mama kapeleka Zanzibar!
This shot is unique, karibu nidhani ni China.