Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Render za MUHAS Kigoma Campus zimetoka, ujenzi unaanza mwezi wa Tisa 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C9PdUKIK2kZ/?igsh=MXZoMWEyczhuNHV3eg==
wizara_elimutanzania_1720613204134735.jpg
wizara_elimutanzania_172061320413464.jpg
wizara_elimutanzania_1720613204134441.jpg
wizara_elimutanzania_1720613204134382.jpg
wizara_elimutanzania_1720613204134548.jpg
 
And majority of the attendees were Kenyans in Canada .. we ain’t haters like you.. we support your artists… btw.. why are there so many Tanzanians in Canada claiming refugee status.. ?.. kwani kuna violence Bongo ama ni fraud?.. 😂😂😂
Hoja inabakia pale pale kwamba hakuna Mkunya anaweza jaza uwanja.

Nyie ni watumwa Wetu🇹🇿 kwenye mziki 😁😁
 
Wacha ufala leta picha tuone! Na ziwe land cruiser hardtop!
Yaani wewe ni zee la hovyo,kwanza umedandia mada Kwa mbele naweza kukufanyia unawanda..

Nimewajibu wenzako na picha nimeweka,Toka mwaka Jana Serikali iligawa hizo ambulance.

Samia sio wa level za Afrika alitakiwa kuwa Ulaya huko 👇👇

View: https://twitter.com/wizara_afyatz/status/1676512715999772672?t=lF5BhGxO5A8lQfBbo-3Nlg&s=19

View: https://twitter.com/wizara_afyatz/status/1724047167550074887?t=uguxZOgRHkrHex_ju-98QQ&s=19

Niongeze dozi au imekutosha? 😁😁
 
Back
Top Bottom