ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mikopo mpaka wakununua gari za ambulance na nchi watuwanalipa Kodi na tozo juu π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nyie wa awamu ya 5 mlinunua ngapi? Nioneshe hata 10 nifunge account πππππ
Ulitegemea Samia amalize shida zenu za miaka 60 Kwa miaka 3?
Shikamoo billionaire nchemba tuendelee kusifia π π π π π
Waziri WA fedha anamiliki team ya mpira na tena inasajili wachezaji WA mabilioni ya pesa, Sisi ndio tupo
Tuendelee kusifia tu