Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Gari hzi SASA hvi zimejaa kama takataka😂
Screenshot_20240704-190502.png
 
Ethiopia ni hyped failed state.
Mambo mengi Ethiopia yanakwama,pia Ethiopia wana light trains sio kama hizi za kwetu.
Passengers washaanza kuonesha muitiko,tena wale wengine walokua wanajazana katika MGR watapungua kuja SGR
Kwenye mizigo time will tell,just chill bro usiwe na kitete.
Hii Kenya haijuia hata kwa muda huu wa trials tayari iko wazi termial ni ndogo.

So by world class you mean electric ama? kwa sababu sioni kitu kingine peculiar na sgr ya Tanzania vis a vis kenya.

Need i remind you tulijenga sgr the same time na Ethiopia na wakati huo the script ilikua hii hii ya electric.

Fast forward today hype ziliisha licha ya kwamba Ethiopia ina uchumi mkubwa kuliko Tanzania.

Unajua mpaka sasa sijachukulia serious Sgr yenu manake naijua tanzania haina ubavu interms of metric tonnes na passengers.
 
Kijana umekunywa chai? Hueleweki. Weka hii kichwani. Treni ya Tz inaenda 160kph aidha ni slow au fast tunaachia nyie. Ni ya kisasa yaani world class popote pale duniani ni treni nzuri, kama umewahi kutembea duniani utanielewa. Mwisho nakufahamisha mjadala wa treni kati ya Tz na Ke ushaisha. Pumba na mchele zishajitenga. Tuendelee kujadili apartments ndefu za Nairobi.
Huyo hajakula kapata hypoglycemia yuko disoriented kidogo 😁
 
So by world class you mean electric ama? kwa sababu sioni kitu kingine peculiar na sgr ya Tanzania vis a vis kenya.

Need i remind you tulijenga sgr the same time na Ethiopia na wakati huo the script ilikua hii hii ya electric.

Fast forward today hype ziliisha licha ya kwamba Ethiopia ina uchumi mkubwa kuliko Tanzania.

Unajua mpaka sasa sijachukulia serious Sgr yenu manake naijua tanzania haina ubavu interms of metric tonnes na passengers.
Kwanzaa kabisa ilo tofauti kubwa sana kati ya Tz trains na Kenyan ones apart from source of power Tz trains are eco-friendly Kenyans trains are not, Tz trains have higher speeds than Kenyan ones, Tz trains have heating ventilation air-conditioning hvac system kenyan trains hazina, tz trains ni Electric multiple units EMU kenya hamna EMU.
Tukija kwa Ethiopia, they constructed a light rail na inabeba mizigo yao tuu while Kenya and Tz wanabeba mizigo yao na majirani pia but of all the EA railway systems Tz rail is the heaviest of all.
 
😂😂😂😂😂😂Tutajie max speed ya Madaraka Express.
Maana sisi katika majaribio walianza na 150,wakaja 166,wakaja 174.
Na sasa speed inayotumika kukimbizana na muda licha ya kusimama vituo njiani ni 165-170+kph.
Tuletee max speed ya Madaraka express bro.
Alivyo na roho ngumu atakuja na uongo mwingi tuu hapa hakosi maneno 🤣🤣🤣
 
Inaweza fika hata 200kph, ingia youtube tafuta video jamaa anakwenda na 120 lakini bado mtambo wa diesel unamuacha.
Hizo ni unofficial speed, wenzako wamekubali 160 wewe unahisi ukikubali basi itakuwa mmeshindwa,endelea kusukuma agenda 😂😂
Wewe kima ile 3rd class linatoka zaidi ya 176kmp na tumekuletea clip mpaka ya spidi mita ikipanda na kushuka.
Hii mashine hapa chini inagonga over 200kmph, Hyundai ITX ni zaidi ya hapo. Endelea kijifariji na kujipunguzia maumivu.
1720119737221.png
 
Back
Top Bottom