Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Afadhali kaka, Tanzania tumebarikiwa viongozi 3 waliokua wanaformulate plan kuipeleka nchi mbali NYERERE (AZIMIO LA ARUSHA), MKAPA (Tanzania Development Vision 2025), MAGUFULI (Magufulification) Matumizi sahihi ya Pesa za ndani. Kiongozi nayeweza mlink na magufuli kwenye infrastructure miracle ni JOKO WIDODO wa Indonesia.
Ila cha ajabu kiongozi huyo akitoka anayefata ni full kuharibu.
 
Kuna mahali hapo kati tulipotea njia. Inasikitisha sana.
Kuna nchi zilichukua somo wakalifanyia kazi (Jeshi) kipindi cha Nyerere JWTZ ilikua ni jeshi imara na lilikua linaombwa kusaidia nchi nyingi kuzima mapinduzi, kutoa uhuru, kuzuia waasi. Kama falsafa ingeendelea si tungekua na jeshi hatari zaidi (Rwanda alichukua somo vizuri mnaona alivyo).

Viwanda vya Kijeshi (Nyumbu, Kiwanda cha Mizinga na risasi, ila walikiua) Uganda kabeba somo vizuri.

Naweza sema hakuna viwanda vinavyoniuma kama hivi.

1. General Tyres hadi leo kina potential ya kua revenue generator wa serikali ila hawakioni wanaona kuongeza tozo ndio kupata pesa.

2. Viwanda vya Nguo (Urafiki, Mwatex, Musoma Textile) dah yaani hakuna mwendeleo sisi wa kuexport mafamba hivyo?.

3. Viwanda vya Baisikeli ya Swala (NABISCO) Naamini sasa bajaji isingekua tabu.

4. Kiwanda cha chuma (chenye kuunda kila aina ya pembejeo au chuma) mashine aliuziwa Mchungaji Rwakatare like Seriously?

Na now vinavyouma zaidi nina wasiwasi zaidi ni hii miradi ambayo gov in full control nayo SGR, JNHP, MERERANI, MCHUCHUMA & LINGAGA, TWIGA MINERALS (BULYANHULU 50% NORTH MARA 16%), TEMBO NICKEL.

Wameanza na PORT sijui kinachofata asee.

Ikiwa kipindi cha Sakata la Dp World walitaka sheria ya Magufuli ya Permanent Sovereignty on Natural resources ibadilishwe itakuaje hivyo. Maana walishindwa kupitisha.

Hiyo sheria ya 2017 ina ipa Nchi Permanent Sovereignty, inamaanisha mkataba wa milele hauwezekani, na ikiwa muwekezaji haifaidishi nchi inaweza kuvunjwa akarudi kwao, na kushtaki ni kushitakia hapa hapa sio nje.

Sheria kama hiyo unaenda ibadili ili iweje?
 
Kenya hatukatai maandamano ni Dawa, yes nasi tungependa tuyafanye kunusuru hii nchi incase tukiona inaenda mlama.

Ila ndugu zetu mmepitiliza, Maandamano yenu ni dhidi ya RUTO, then wafanyabiashara wamewakosea nini? Hao ndio walipa kodi ambazo zitalipa mishahara irudi kwenye mzunguko mkiwaharibia capital watapata wapi pesa, na serikali ikipoteza middle taxpayers huku bado imelemewa madeni hamuoni hata nyie mnachochea tatizo zaidi, Hata Ruto atoke anayefata afanyeje sasa?
 
NON NATO ALLLLLLLLLLLLLLLLYYYYYY

KENYA WILLLL BECOME MIGHTYYYYYYY

USA MADILI KAMA YOOOOOOOOOOOOOOTEEEEEE

RUTOOOOO AMEKAAAA KITI CHA URAISI WA MAREKANIIIIIIIIIIIIIIIIII

OYOEEEEEEEEEEE

SCRAPPERS ZA JESHI HIZOOOOOOOOOOOOOO



LOLOLOOOOOOLLOOLLOOOOOO


Wiki Mbili mbeleee.

RUTO MUST GOOOOOOOO
GEN Z
CHOMA CHOMAAA CHOMAAA
SALIMIAAA SALIMIAAA SALIMIAAA
IBA IBA IBA IBAAAA

KIITIKIO

CHOMAAA CHOMAAA CHOMAAA
SALIMIA SALIMIA SALIMIA SALIMIA

BILL HAITASIGINIWAAA OYEEEEEE


TUTAKOPAA MTAKE MSITAKE MAANA JUMA ANATAKA PESA YAKE, HALIMA ALISHAKOPESHA ANAULIZA MASHARTI (TAX) NIAJE HUKOOOOOOOO

KAZAAAA KAZAAAAAA


UAAAA CHINJAAA NYONGAAAA NYANGANYANGA

1000038448.jpg
 
Back
Top Bottom