Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Mambo ya kutafuta maisha sio hoja, hoja ni je mtanganyika mwenye ameyapata maisha anaweza kwenda kujenga Zanzibar.Kiufupi mkuu kumiliki ardhi Zanzibar Mswahili anaruhusiwa ila asilimia KUBWA hawapendelei kutafuta maisha Zanzibar.
We kaa pita mtaani katika mishe uone mtu anafikiria kwenda kutafuta maisha wapi halafu usikie kama ataitaja Zanzibar.
Mkenya anaweza nunua na kumiliki ardhi sehemu yeyote ya kenya as long as amepitia the proper legal channels.
Nikisema hamn.a makende kuzungumza haya mambo itakua nimetukana 😂😂