Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
lets wait n see! mimi hata haya maandamano yanayoendelea naona kuna mkono kutoka nchi za nje! Inaelekea Ruto anaweza kupinduliwa hata kabla ya mission ya Haiti haijafanikiwa!Hait inazumgukwa na nchi nyingi tu za Latin America Wewe unatoka far far away kwenda Haiti?
Unajua issue kubwa hawa wakenya hawajui wanaingizwa kwenye mkenge. Lengo la USA ni Kupambana na Cuba. Kwakuwa Haiti ipo karibu na Cuba, USA hawawezi kuingia direct Cuba kutokana na Russia. Sasa wanataka kutumia Haiti kama sehemu yao ya kuweka military base.
Wakenya wajinga mno.