Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumefikiwa na Starbucks Coffee pale Ursino Road kwa Kikwete.


IMG_9076.jpeg
 
Hivi ni kipi kinakufurahisha hapa wewe Myemeni maana unashare information Wakenya wanapenda kwa sahii.
viongozi muliwachagua wenyewe, wajinga nyinyi KAZI yenu kuburuzwa na wanasiasa miaka kwenda miaka kurudi, nitajie mwanasiasa gani sio tajiri Kenya 😂😂😂😂😂

Nimeskia omanga alipata tender ya furniture state house for 1b Yani pesa inatoka serekalini inaenda kwa mwanasiasa
 
Wamefata masharti ya bwana wao USA😂😂
Hait inazumgukwa na nchi nyingi tu za Latin America Wewe unatoka far far away kwenda Haiti?

Unajua issue kubwa hawa wakenya hawajui wanaingizwa kwenye mkenge. Lengo la USA ni Kupambana na Cuba. Kwakuwa Haiti ipo karibu na Cuba, USA hawawezi kuingia direct Cuba kutokana na Russia. Sasa wanataka kutumia Haiti kama sehemu yao ya kuweka military base.

Wakenya wajinga mno.
 
Back
Top Bottom