Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,923
- 103,791
inaitwa husstler nation sio? Watulie!
SGR yetu mzuri ila miundo mbinu sehemu waweke vizuri.Hivi kuna mtanzania hata mmoja alishaenda Kunyaland kuexperience sgr yao? Lakini angalia hawa halafu watasema watanzania tunawagoogle sana 😁😁😁
Huyu kapanic ☝️ ☝️ 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Umeparara kama nduku lako ama? Na ulikuja kufanya nini kwenye mji ulioparara na unaounuka? Ama ulikuja kujulia hali ombaomba wenu?
Mbona marefu sana.Ni pale Dar Es Salaam port.
Ni BRT phase two au?
View attachment 3026127View attachment 3026129View attachment 3026131
Kwa hiki ulichoandika sina haja ya kujibu, unatumia hisia instead of thinking.Kwani wana akili? Kwanza hizi ni vurugu za kikabila zaidi hata ya uhalisia kama ni gharama za maisha kuwa juu ni toka awamu ya mwisho ya uhuru bado gharama zilikua juu na zimeendelea kuwa juu sababu ya kodi kubwa ambayo lazima ikusanywe ili walipe deni, zaidi ya 60% ya kodi yote inaenda kulipa deni la Taifa, unategemea serikali itaendeshwaje?
Wanajitambua au ndio mficha maradhi mauti humuumbua 😅😅😅😅😅MIMI NASHANGAA MNASHANGAA WAKENYA.
wakenya wapo tofauti kabisa na Watanzania, Wakenya wanajitambua tofauti na Watanzania.
Aisee wakenya wapo mbali, kinacholeta tofauti kati ya wakenya na waTZ ni elimu na kujitambua.MIMI NASHANGAA MNASHANGAA WAKENYA.
wakenya wapo tofauti kabisa na Watanzania, Wakenya wanajitambua tofauti na Watanzania.
Wafunge nyaya za umeme zitumie umeme kama vile city tram alaf gas au diesel iwe backup yake itakua Safi SanaMbona marefu sana.
Sema kama wanatumia mafuta na diesel bado sitafurahi.
Wangeyafunga mfumo wa gesi au umeme ili mafuta yakipandapanda hovyo wasidhurike hata kidogo.
Wangetumia ya umeme Tanzania sasa ina umeme kuzidi mahitaji.
Mimi nasema kuhusu Raia, sisemi waserikali wanavyosema.Wanajitambua au ndio mficha maradhi mauti humuumbua 😅😅😅😅😅
Walibakia kudanganya dunia Wana maisha mazuri sijui wako level za singapore haya kiko wapi SASA 😅😅😅😅😅
Nchi ina Hali mbaya kuliko Zimbabwe 😅😅
Ndo hicho mkuu.wakenya na waTZ ni elimu na kujitambua.
Kwan mm nazungumza kuhusu Nani??Mimi nasema kuhusu Raia, sisemi waserikali wanavyosema.
Au wakenya wa JF maaana humu si mnabishana tuu.
🤣 🤣 🤣 Umefungua Account nyingine. Tutawanyoosha hivyo hivyo tu. Hata mkijifanya watanzania.Ndo hicho mkuu.
Alaf baadae urudi kwenye I'd yako unayoitumia sawa 😅😅😅😅😅😅😅😅Mimi nasema kuhusu Raia, sisemi waserikali wanavyosema.
Au wakenya wa JF maaana humu si mnabishana tuu.
Mbona hata waTZ wanasema reli yetu mzuri. Lkn kuna vitu kama hiviWanajitambua au ndio mficha maradhi mauti humuumbua 😅😅😅😅😅
Walibakia kudanganya dunia Wana maisha mazuri sijui wako level za singapore haya kiko wapi SASA 😅😅😅😅😅
Nchi ina Hali mbaya kuliko Zimbabwe 😅😅