Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Huyu anaongea ukweli mtupu yaani hamna rangi wataacha ona, wakubali tu kukamuliwa for at least 5 years yote pesa iende ikalipe deni walilochukua kujenga brt ya lipstick ๐Ÿ’„๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kwenye uzi wa SGR nilituma picha nyingi sana kuhusu SGR yetu hii.
Nikasema SGR yetu mzuri hata kulika ya kenya katika technology na na speed hata coach zile za mabehewa.

Ila huku kwetu gongolamboto reli inapita nyuma ya gongolamboto sokoni, watu wanavuka mpka kutoa kokoto za reli picha hii natuma tena. Nilipiga.
View attachment 3026475
Mpaka kuna mtu anashika bendera kuzuia watu wasivuke kwa sababu reli inapita
View attachment 3026476
Kwasababu hakuna fensi
View attachment 3026477
Jana treni imepita imepiga oni kweli kwa sababu still watu wanapita juu ya reli.
Hata mimi mwenyewe nilipita juu. Hizo picha nilipiga last week.

Ila this week nimeona wanaanza kuziba. Baadhi ya maeneo
View attachment 3026478
Matokeo yake watu wanapita sehemu ya Kalavati.
View attachment 3026480
View attachment 3026481
Nikasema hivyo pindi wanajenga hawakuangalia kuhusu watu watapitaje.

Mwishoni kutoka kwa Geza Ulole
Nikaambulia kuitwa mjinga, mara unaweza iba.( baada ya kumuliza kitu kimoja nilikiona juu ya reli).
Mwishoni wakakana kwamba hizo picha sio reli ya Tanzania, nikamwambia wewe upo dsm, njoo gongolamboto ujekuona , sasa sijajua kama alikuja au la.
Wewe unataka wapite sehemu Ya nn ??
Hio reli inashida gani hebu tueleze ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Kuhusu maisha wote hali mbaya tuu.
Ila mimi nazungumzia kuhusu ujinga.

Mostly ya Watanzania ni wa wajinga kuliko wakenya , hii msikatea.
Mimi mwenyewe mbongo pure.
Acha upumbavu wewe wakunya ni wajinga kuliko watanzania. Wangekuwa wanaakili wasingeacha watu wachache wamiliki ardhi na pia kukubali kuishi kwenye slums.
Na pia kwa ujinga wao hupiga kura za kikabila ambazo ndio huwaletea haya matatizo yote.
Hata treni ya sgr mmelipa hela nyingi kuliko uhalisia mnaibiwa left right centre huku mnaona kama sio ujinga ni nini?
 
Back
Top Bottom