Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Sasa ni wewe ndio unajiliwaza au mimi ndio najiliwaza we kocho.? 😂😂😂 umeshawahi kufika Dar..?Endelea kujiliwaza.
Sasa ni wewe ndio unajiliwaza au mimi ndio najiliwaza we kocho.? 😂😂😂 umeshawahi kufika Dar..?Endelea kujiliwaza.
Thank God umesema in Tanzania igekuwa crisis. Kenya hatuabudu president like you do down there. Huku kwetu, the president is not above the law. He can't do as he wishes just because he's the President. Usidhani huyo askofu alifanya kitu hajui. This is Kenya, not TanganyikaHe's still nobody in hierarchically structure, in protocolary to despise the next subordinate figure after the president is negligence to the presidency ila nchi yenu ni ghetto state so nobody cares ila ingekuwa Tanzania ni critical crisis
Mtanzania si mko desperate yani 🤣🤣🤣🤣Mkenya anazaliwa hana hata pa kushika Kenyatta family, wamejimilikisha Kila kitu ukiona kiongozi mkuu wa nchi anawatafitia watu wake umanamba ugaibuni, wewe faham kuwa nyumbani hakukaliki hata kidogo ujue Kila kona kuna watu walisha kamatia mda mrefu no future in kenya for young people
Alisema hataki kulala kwenye lodges sababu kuna kelele za mziki ataenda kufunga tent msituni, ulitaka TANESCO ikampelekee socket huko msituni?Mbona hakuna mahali anacharge tricycle yake kama kuna umeme?
Eti every single building in Kariakoo is more than 10 floors. 🤣 🤣 🤣Sasa ni wewe ndio unajiliwaza au mimi ndio najiliwaza we kocho.? 😂😂😂 umeshawahi kufika Dar..?
Kenya kwisha.Thank God umesema in Tanzania igekuwa crisis. Kenya hatuabudu president like you do down there. Huku kwetu, the president is not above the law. He can't do as he wishes just because he's the President. Usidhani huyo askofu alifanya kitu hajui. This is Kenya, not Tanganyika
Wewe myemen unajua hapo umebeba milioni ngapi za kitanzania?Pesa madafu, watu wanahangaika pesa hakuna kila kitu ghali, maisha magumu Vibaya mno
Sisi ndio tuko tunawalala kina dada
zake Teargas Don YF 😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 3023705
Lodges gani? Hata shopping centers za maana along that unpaved road hakuna. Ama unadhani hatufwatili safari zake.Alisema hataki kulala kwenye lodges sababu kuna kelele za mziki ataenda kufunga tent msituni, ulitaka TANESCO ikampelekee socket huko msituni?
Halafu kakasirika kama unamjua vizuri anapenda akifika mahali watu wageuke wehu wamkimbilie, wamshangilie, wamsongesonge yaani anataka attention kitu ambacho Tanzania kakikosa kabisa 😂😂😂 toka ameingia Tanzania hakuna mtu mwenye shobo nae mpaka akasema Tanzania watu ni tofauti kabisa na nchi nyingine alizopita, kiufupi anaonekana kukwazika kisa watanzania hawamtetemekei kama wakenya na wengine 😁😁😁 of course mpaka subscribers wake wanasema watanzania ni wa tofauti sana inaonesha wamewazoea wazungu na hawana ushamba kama waafrika wengine.Huyu mzungu wao hata kwenye comments kuna baadhi ya watu wanamponda kwamba yuko entitled. Kule Rwanda kuna familia ilimsaidia kujikinga kwenye nyumba yao akaondoka na kuandika title sijui poor family etc.
Sasa kwenye hii video kote hata huko vichakani na mbugani naona electric poles kila mahali na anasema no Electricity. Anaogopa hata kulala kwenye Guest house analala vichakani.
Alishindwa kutumia route Nyingine nzr ya barabara yeye anaforce kupita huko
Usinilishe maneno we kichaa .. nimesema almost every single building in kariakoo is more than 10 floors.. elewa neno almost mzee.. 🤣🤣🤣Eti every single building in Kariakoo is more than 10 floors. 🤣 🤣 🤣
Kenya hamna serikali wala nationhood mna collection of different vernacular speakers, sasa ukiwaondoa wakalenjin na mkewe nani anamuheshimu Ruto?Thank God umesema in Tanzania igekuwa crisis. Kenya hatuabudu president like you do down there. Huku kwetu, the president is not above the law. He can't do as he wishes just because he's the President. Usidhani huyo askofu alifanya kitu hajui. This is Kenya, not Tanganyika
Is it a lie?Mkenya leo anamuambia mtanzania eti "abiria wanakojoa kwa vichaka" dunia simama nishuke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee ikiwa hauna pesa za kutosha kusafiri, njoo nitaku host ili ujifunze TanzaniaIs it a lie?View attachment 3025019
Anaheshimiwa hadi TanganyikaKenya hamna serikali wala nationhood mna collection of different vernacular speakers, sasa ukiwaondoa wakalenjin na mkewe nani anamuheshimu Ruto?
Kwani hiyo picha imepigwa Kenya? Is that not Tanzania? Ama ni Tanzania ya 90s?Mzee ikiwa hauna pesa za kutosha kusafiri, njoo nitaku host ili ujifunze Tanzania
#Rutomustgo.Anaheshimiwa hadi Tanganyika
Mzee ikiwa hauna pesa za kutosha kusafiri, njoo nitaku host ili ujifunze Tanzania
Soma tena hiyo post hapo juu kaka.Kwani hiyo picha imepigwa Kenya? Is that not Tanzania? Ama ni Tanzania ya 90s?