Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

They have never seen these streets before.. Lumumba street kariakoo
Screenshot_20240624_180728_Gallery.jpg
Screenshot_20240624_180715_Gallery.jpg
Screenshot_20240624_180659_Gallery.jpg
 
Hamna umeme then boom 😁😁😁 huyu mzungu na wewe ni wehu
Usichojua Tanzania inaongoza Africa kwa rural electrification
View attachment 3024863View attachment 3024865
Huyu mzungu wao hata kwenye comments kuna baadhi ya watu wanamponda kwamba yuko entitled. Kule Rwanda kuna familia ilimsaidia kujikinga kwenye nyumba yao akaondoka na kuandika title sijui poor family etc.
Sasa kwenye hii video kote hata huko vichakani na mbugani naona electric poles kila mahali na anasema no Electricity. Anaogopa hata kulala kwenye Guest house analala vichakani.
Alishindwa kutumia route Nyingine nzr ya barabara yeye anaforce kupita huko
 
Back
Top Bottom