Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
wacha kujipendekeza hater ni ugonjwa anaozaliwa nao kila Mkunya!Huyo Bertin mjinga sana. Alafu anajifanya mtu fair opinioned kumbe amejaa chuki. Mimi heri mtu anayejitambulisha kama hater kama Geza Ulole kuliko yule wa kujifanyafanya fair na amejaa chuki.