Halafu kakasirika kama unamjua vizuri anapenda akifika mahali watu wageuke wehu wamkimbilie, wamshangilie, wamsongesonge yaani anataka attention kitu ambacho Tanzania kakikosa kabisa 😂😂😂 toka ameingia Tanzania hakuna mtu mwenye shobo nae mpaka akasema Tanzania watu ni tofauti kabisa na nchi nyingine alizopita, kiufupi anaonekana kukwazika kisa watanzania hawamtetemekei kama wakenya na wengine 😁😁😁 of course mpaka subscribers wake wanasema watanzania ni wa tofauti sana inaonesha wamewazoea wazungu na hawana ushamba kama waafrika wengine.