Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kitu kizuri chenye rangi zake kikipiga jeramba 😎

IMG_8487.jpeg



Rangi adimu sana hii 😎
IMG_8484.png
 
Wakenya wamechoka na ufukara na fake GDP, fake economy, fake flashy renders, fake angled drone shorts, fake currency wakati kwa ground wanapitia shuruba hata Haiti hawajahi experience, ni wakati wao kumuwajibisha zakayo japo uozo wote huu uliletwa na uhuru, wamekopa billion 85 dollars lakini ukiwaambia wakuoneshe hata kwa spotlight ilipoenda hakuna anaejua


View: https://youtu.be/iqe_veezv2g?si=L0oxlLN8n4b5HbMX
 
Wakenya wamechoka na ufukara na fake GDP, fake economy, fake flashy renders, fake angled drone shorts, fake currency wakati kwa ground wanapitia shuruba hata Haiti hawajahi experience, ni wakati wao kumuwajibisha zakayo japo uozo wote huu uliletwa na uhuru, wamekopa billion 85 dollars lakini ukiwaambia wakuoneshe hata kwa spotlight ilipoenda hakuna anaejua


View: https://youtu.be/iqe_veezv2g?si=L0oxlLN8n4b5HbMX

Mm nawatakia kila la heri katika kupigania nchi yao, wakenya wanateseka sana since uhuru, yani ukizaliwa Kenya alafu wewe ni pangu pakavu tia mchuzi kama hawa wakenya wa humu ukifa kiimani huwezi kwenda motoni maana moto unawaunguza hapa hapa duniani, just imagine hawa wote walio humu wengi wao ni slum dwellers, na hata kama kwa sasa amepanga bed sitter lkn familia yake na ukoo wake wote ni slum dwellers, kwnn wasiuane? Waache wapambane sisi tujenge nchi.
 
Mm nawatakia kila la heri katika kupigania nchi yao, wakenya wanateseka sana since uhuru, yani ukizaliwa Kenya alafu wewe ni pangu pakavu tia mchuzi kama hawa wakenya wa humu ukifa kiimani huwezi kwenda motoni maana moto unawaunguza hapa hapa duniani, just imagine hawa wote walio humu wengi wao ni slum dwellers, na hata kama kwa sasa amepanga bed sitter lkn familia yake na ukoo wake wote ni slum dwellers, kwnn wasiuane? Waache wapambane sisi tujenge nchi.
😁😁😁😁 Utani pembeni lakini wana kila sababu ya kukiwasha hawa watu wanaishi kama mashetani, fukara wa Kunyaland ni fukara haswa haina cha wa kijijini au mjini na ndio majority, fake online life bado haiondoi minyukano ya umaskini walionao Pamoja na serikali yao kujikita katika upishi wa fake data lakini bado uhalisia ni kitendawili 😂😂😂
 
Mkenya anazaliwa hana hata pa kushika Kenyatta family, wamejimilikisha Kila kitu ukiona kiongozi mkuu wa nchi anawatafitia watu wake umanamba ugaibuni, wewe faham kuwa nyumbani hakukaliki hata kidogo ujue Kila kona kuna watu walisha kamatia mda mrefu no future in kenya for young people
 
Eti a mere Bishop, huyo ni Arc Bishop na mkubwa wa kanisa zote za ACK in Kenya. Usiwe pumbavu, Rais hawezi kubaliwa afanye vile anataka just because yeye ni President. Katiba yetu inasema the power belongs to the people not the president.
He's still nobody in hierarchically structure, in protocolary to despise the next subordinate figure after the president is negligence to the presidency ila nchi yenu ni ghetto state so nobody cares ila ingekuwa Tanzania ni critical crisis
 
Back
Top Bottom