Acha kutetea upumbavu. Unajua huo mkoa wa katavi, mpanda ulianzishwa lini? Na je una uhakika hakuna Barabara nyingine inayounganisha hiyo mikoa kwa lami?
Hapa ni Nairobi CBD kabisa karibu na railway station na ukipanda kidogo uptownunafika ofisi za nchi nzima ya kenya.
Lakini Tazama bus stage ya magari yaendayo kibera na mitaa mingine mingi ya Nairobi.
Mko hapa mnasema Tanzania iko 30 years back ( miji yote Tanzania ina modern bus stages) nyinyi hata mji wenu mkuu hauna bas park hata moja na zilizopo zinafanana hivi?
Mimi nadhani nyinyi ndo mko 30yrs back ya Tanzania iliposasa hiv
View attachment 3021318