RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,880
- 129,907
Hivi hujakua ukifuatilia mjadala?
Kila mjadala kwenu huwa mnageuza unakuwa wa bus stages na Kibera. Sasa nawaonyesha Barabara ya kuconnect miji mikubwa mikoani ambayo ni vumbi tupu kwa km 297, wewe unaingiza bus stage. Bongolala ni bongolala tu. Yani unatoka bus stage modern alafu unakanyaga vumbi for 300km na unaona hayo ni maendeleo?
Hii statement yako ya mwisho ndio nataka kuona. Iko wapi hio barabara? Au hukumaanisha ulichoandika?Sasa nawaonyesha Barabara ya kuconnect miji mikubwa mikoani ambayo ni vumbi tupu kwa km 297