Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mtanzania yupi hapa kwa huu Uzi isipokuwa wewe hajafika Mombasa, hapa mitaani wabongo wamejaa lakini wako na adabu kidogo, kuna mmoja anaitwa Ali kazi yake ni kupika sambusa alafu usiku analala msikitini hana nyumba😃
Minor issues za mtu kupika sambusa huwa zinajadiliwa na wanawake 🤣 🤣 🤣 🤣 . Sisi wanaume tunajadili yafuatayo:-

1718953729934.png
 
Ujumbe kwa mseng.e ichoboy01 na dadake babayao255 wanaosherekea Chris brown akikata mauno. Wanatuletea habari za kishoga kwenye jukwaa la mambo muhimu, nimewadharau kishenzi 👇

View: https://twitter.com/HilmiHilal88/status/1803859844006297704?t=A_D5kza9vWa6O1jQgXYWiw&s=19

Halafu Wakenya wanawafanyia kejeli majamaa wanashika mori. Hawajui huku Kenya tushaawachukulia kama watoto wadogo. Mtoto ukimwaambia hiyo toy yako ni yangu anaanza kulia.😂😂😂😂
 
Halafu Wakenya wanawafanyia kejeli majamaa wanashika mori. Hawajui huku Kenya tushaawachukulia kama watoto wadogo. Mtoto ukimwaambia hiyo toy yako ni yangu anaanza kulia.😂😂😂😂
Jamaa wako na inferiority complex mbaya Sana, imagine wabunge wao wanalalamika kwa sababu KQ imeandika Kilimanjaro kwa ndege, so hapo wameibiwa mlima. Ni rahisi sana kupata attention yao 😂😂😂
 
Jamaa wako na inferiority complex mbaya Sana, imagine wabunge wao wanalalamika kwa sababu KQ imeandika Kilimanjaro kwa ndege yao so wameibiwa mlima. Ni rahisi sana kupata attention yao 😂😂😂
Huku Wakenya hujoke, ukitaka kukasirisha Mtanzania mwambie, Kiswahili ni chetu, Diamond ni wetu, Magufuli ni wetu na vitu za ujinga kama hizo. Utatrend hadi kwa Parliament yao.😂😂😂
 
Huku Wakenya hujoke, ukitaka kukasirisha Mtanzania mwambie, Kiswahili ni chetu, Diamond ni wetu, Magufuli ni wetu na vitu za ujinga kama hizo. Utatrend hadi kwa Parliament yao.😂😂😂
Mzee kwetu hatunaga utani na wakenya. Nyie sio watani wetu. Msijipendekeze kwa watanzania
 
Kuna mtanzania yupi hapa kwa huu Uzi isipokuwa wewe hajafika Mombasa, hapa mitaani wabongo wamejaa lakini wako na adabu kidogo, kuna mmoja anaitwa Ali kazi yake ni kupika sambusa alafu usiku analala msikitini hana nyumba😃
Unatamani iwe hivyo sio.? 😂😂😂
 
Empty talkers. 🤣🤣🤣 heb leteni picha za hayo kakazi bora hapo Mombasa, hatutaki satellite pictures. Nitakuonyesheni Mombasa inazidiwa na mji gani hapa Tz . Leo nina muda wa kutosha kujibizana na nye mbwa



Watanzania tafadhali mniache hii battle naiweza pekeangu.
Haka kajibwa kanajaribu kujipendekeza kwa kujiliwaza..., hauna ya kuongezea Dar wala kupunguzia Mombasa, ziko zilivyo, all is laid bare for all to see, maumivu yamekuzidi naona hehehe.,, hauna jipya utaweka humu, Google earth imetosha, hauna sehemu ya kuficha wala kueneza propaganda kwa ku post vipicha kwa angle kijanja janja ukificha uhalisia., kwenda kabisa!!.., tafuta kazi ya kufanya mbuzi man..,
 
Back
Top Bottom