Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mulikua munatutukama 90s Huko mpaka 2000+ hapo haya SASA matusi yakwap tena, na Sisi tulijua mushafika level za singapore Huko kumbe wenzetu badala kwenda mbele mulikua munarudi nyuma πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Nchi imefika pahala haina hata mradi mmoja wa maana unaofanywa na serekali na bado munapanua vipumulio Tu

Nchi imefika hatua hata stadium SASA inajengwa na kumilikiwa na wachina πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hii sasa inaitwa ujinga on steroids.., hakuna nchi EAC inajenga stadiums nyingi in EAC zaidi ya Kenya.., yaani unafikiria Talanta ni ya mchina, it ain't PPP, poleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, kweli unaumwa., narudia haubadilishi lolote kaka., mambo ni pale pale, naona pressure itakuuwa bureπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ,
 
Hivi ni nani alikuambia kila kinachofanyika Kenya ni lazima kifanyike Tanzania?😎😎
Wao Wanaumia Sana kuona hii Amani Tanzania, Wanaumia kuona hakuna ukabila, Wanaumia kuona kabila lolote linapata urais Tanzania πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wao ni kabila mbili Tu ndio inaongoza nchi na ndio mafisadi WA Kenya
 
Yaani Tanzania ni one sided decisions kwa miaka yoote kisha mnalia kwa mitandao za kijamii alafu hamna action, yaani wewe ni mpumbavu sana, unajipiga risasi kwa mguu.., linyani halijiangalii linakurupuka tu, nenda Kawaambie Watanzania wenzako hivi utapata jibu, mandazi wewe🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Kijana angalia sisi process yetu inapoanzia hatukurupuki tuu we have a public hearing kutoa maoni on our finance bill sio viongozi ku impose mawazo yao kwetu. As I said earlier we operate an open governance system anbayo inatos wide berth kwa consulative process.

View: https://x.com/EastMan333/status/1803809254215761969?t=TLm58DPKxkEJ6wm-YLYAHw&s=19
 
Hii sasa inaitwa ujinga on steroids.., hakuna nchi EAC inajenga stadiums nyingi in EAC zaidi ya Kenya.., yaani unafikiria Talanta ni ya mchina, it ain't PPP, poleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, kweli unaumwa., narudia haubadilishi lolote kaka., mambo ni pale pale, naona pressure itakuuwa bureπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ,
Stadium gan munajenga ikiwa 2024 hamuna hata approved CAF standards, juzi Harambee wameenda Malawi kutumia uwanja Huko kwa sababu nchi haina approved stadium πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…


View: https://x.com/gilbertkibiwot4/status/1800549682185400399?t=xqUhMGPxl18YF2E3eVJk1g&s=19


View: https://x.com/MakauWaMuli/status/1799028425069666698?t=O9a0FIwjzwqFolrwxF7big&s=19
 
Kijana angalia sisi process yetu inapoanzia hatukurupuki tuu we have a public hearing kutos maoni on our finance bill sio viongozi ku impose mawazo yao kwetu. As I said earlier we operate an open governance system anbayo inatos wide berth kwa consulative process.

View: https://x.com/EastMan333/status/1803809254215761969?t=TLm58DPKxkEJ6wm-YLYAHw&s=19

Hio ni kila mwaka kwetu linafanyika chizi wewe kila budget ikisomwa lazma wadau wasikilizwe, Tanzania ni tofaut Sana na kenya nchi ambayo ina tax mpaka mkate serious πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Mulirogwa na Nani aiseee mkate muna tax juu alooooπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Hii sasa inaitwa ujinga on steroids.., hakuna nchi EAC inajenga stadiums nyingi in EAC zaidi ya Kenya.., yaani unafikiria Talanta ni ya mchina, it ain't PPP, poleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, kweli unaumwa., narudia haubadilishi lolote kaka., mambo ni pale pale, naona pressure itakuuwa bureπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ,
PPP maana yake ni yenu au sio πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Basi subiri uone uendeshaji atafanya Nani kwani express way hamkuambiwa ni PPP Nani anakusanya pesa pale kama sio mchina na kila kitu anaratibi mchina πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Nchi haina hata uwezo wakujenga stadium aisee Inauma Sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Kwa demand yenu ndogo ya umeme, tenasco walidhania Kenya tutaingia makubalianao kukunua huo umeme lakini tukaenda Ethiopia. Sasa mmebaki na umeme usio na kazi, wazungu wanaita miradi Kama hio White Elephant!!

-The current maximum demand was recorded in August 2023 at 1,482.80 MW
Wakati tunajenga Hilo bwawa tulikuwa hatujui kuwa Kuna taifa linaitwa Kenya
 
Back
Top Bottom