Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona Leo dawa imekuingia vyema na kwa taarifa yako Kesho mapema asbh uwe jamii forum kumwaga machozi na kamasi Lita 50 nimebeba na ndoo kabisa😂👇
Maumivu haya, nilikuzoea, lazima utafute matako ya Mombasa ili ujiliwaze, ukweli mchungu,! Hautabadilisha ukweli, hauondoi uswazi Dar is slum., hautabomoa estates za Mombasa na hauongezi zile chache za maana Dar, yaani unajaribu kuondoa maumivu kwa kunwaga povu. Hizi ni reactions za hasira.., mkikosa jibu kutoka Tanzania baada ya kubanwa mnatafuta akina Kibera na mapungufu mengine, mmeishiwa pumzi, hamna jibu ya kuongezea kutetea Dar, mmepost yote mliyo nayo, same places angles tofauti🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂. GOOGLE EARTH imewaanika sawa sawa, mmebaki na uabunwasi tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
 
Wajinga na wanyonge wakiendelea kulia humu Gen Z have made Kenya proud, bill has passed baada ya kuondoa punitive clauses, ila hatukuitaka kabisaa but serikali imetii, message sent loud and clear, wenye wivu wajinyonge, aluta continua, we will continue fighting 💪🔥🔥🔥🔥
1718785320225.jpg
 
Maumivu haya, nilikuzoea, lazima utafute matako ya Mombasa ili ujiliwaze, ukweli mchungu,! Hautabadilisha ukweli, hauondoi uswazi Dar is slum., hautabomoa estates za Mombasa na hauongezi zile chache za maana Dar, yaani unajaribu kuondoa maumivu kwa kunwaga povu. Hizi ni reactions za hasira.., mkikosa jibu kutoka Tanzania baada ya kubanwa mnatafuta akina Kibera na mapungufu mengine, mmeishiwa pumzi, hamna jibu ya kuongezea kutetea Dar, mmepost yote mliyo nayo, same places angles tofauti🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂. GOOGLE EARTH imewaanika sawa sawa, mmebaki na uabunwasi tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
Tutafute upumgufu kama kibera Kwan kibera haiko kweli Nairobi??😂😂😂😂

Nani hajui kama kibera ndio worse largest slum on planet, mpaka wazungu huja kufanya tour kibera, estate gani za Mombasa au unafkiri siijui Mombasa mm??

Kaa mkao WA Kula SASA, KAZI ndio imeanza

Na hua narudia kukwambia hakuna jiji la kushindana na dar in 10 years hakuna na haitatokea east and central Africa 😂😂😂 na ukibisha njoo kwa hoja za msingi
 
Finance bill 2024. IMF amekamata makende haachii 😁
Ndio matokeo ya maandamano, nyie endeleeni kupigiana hadithi za vijiweni mkikenua meno, hamna kende la kusimama na kulazimisha mabadiliko ama kushurutisha serikali ibadili mambo, maembe nyote!, hauoni ni aibu ama ni uelewa hauna🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tutafute upumgufu kama kibera Kwan kibera haiko kweli Nairobi??😂😂😂😂

Nani hajui kama kibera ndio worse largest slum on planet, mpaka wazungu huja kufanya tour kibera, estate gani za Mombasa au unafkiri siijui Mombasa mm??

Kaa mkao WA Kula SASA, KAZI ndio imeanza

Na hua narudia kukwambia hakuna jiji la kushindana na dar in 10 years hakuna na haitatokea east and central Africa 😂😂😂 na ukibisha njoo kwa hoja za msingi
Mmekosa ya kuongezea kutoka Dar, hamna zaidi, yaani pumzi kwisha!.., sasa ni kutafuta pakutokea, Kiswahili chenu ni rahisi sana., mtoto mdogo atawaelewa vizuri sana, hamna ujanja, kuwa mgeni wangu😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
 
Hakuna sehemu nyingine in Dar ama Tanzania zaidi ya hapa 👇👇.., mwanzo mwisho, angles tofauti ila ni pale pale., ichoboy01 CBD moja tosha, *****, eti miaka kumi🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
FB_IMG_1712869546335.jpg
 
Wajinga na wanyonge wakiendelea kulia humu Gen Z have made Kenya proud, bill has passed baada ya kuondoa punitive clauses, ila hatukuitaka kabisaa but serikali imetii, message sent loud and clear, wenye wivu wajinyonge, aluta continua, we will continue fighting 💪🔥🔥🔥🔥
View attachment 3021890
Gay ass niggers
 
Wajinga na wanyonge wakiendelea kulia humu Gen Z have made Kenya proud, bill has passed baada ya kuondoa punitive clauses, ila hatukuitaka kabisaa but serikali imetii, message sent loud and clear, wenye wivu wajinyonge, aluta continua, we will continue fighting 💪🔥🔥🔥🔥
View attachment 3021890
Nenda kajiunge nao acha kulia lia humu JF kama Teargas 😎
 
Wajinga na wanyonge wakiendelea kulia humu Gen Z have made Kenya proud, bill has passed baada ya kuondoa punitive clauses, ila hatukuitaka kabisaa but serikali imetii, message sent loud and clear, wenye wivu wajinyonge, aluta continua, we will continue fighting 💪🔥🔥🔥🔥
View attachment 3021890

Protests ni failure of government consultative and representation process or capacity. People's needs are addressed in a consultative manner between the government and the people before any plans are put on paper.
Matokeo ya one sided decision ndio haya hakuna open governance when things come to light boom 💣 generation Z is born.
 
Ndio matokeo ya maandamano, nyie endeleeni kupigiana hadithi za vijiweni mkikenua meno, hamna kende la kusimama na kulazimisha mabadiliko ama kushurutisha serikali ibadili mambo, maembe nyote!, hauoni ni aibu ama ni uelewa hauna🤣🤣🤣🤣🤣
Our system of governance works for us no need of protests ukisikia our government ni sikivu sio maneno tuu bali our government listen to its people and implement their wishes we also have an elaborate system of consultation before any decisions arr reached. Ours is an open governance system.
 
Protests ni failure of government consultative and representation process or capacity. People's needs are addressed in a consultative manner between the government and the people before any plans are put on paper.
Matokeo ya one sided decision ndio haya hakuna open governance when things come to light boom 💣 generation Z is born.
Yaani Tanzania ni one sided decisions kwa miaka yoote kisha mnalia kwa mitandao za kijamii alafu hamna action, yaani wewe ni mpumbavu sana, unajipiga risasi kwa mguu.., linyani halijiangalii linakurupuka tu, nenda Kawaambie Watanzania wenzako hivi utapata jibu, mandazi wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Baada ya kuibadilisha, ama hiyo hautaki?.., sisi hatukuitaka even though waliondoa punitive clauses, we needed to send a message, kama walikua na kende si wangeipitisha walivyokua wamependekeza bila kubadili lolote, Kenya sio Tanzania, nina furaha!! 🔥🔥😂😂😂😂😂
That is a long con they did not change anything.
 
Back
Top Bottom