Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,913
- 103,782
Wacha kufananisha gulfstream na upumbavu wa Fokker! Kunyaland nzima hakuna gulf stream registered under 5Y-ā¦Naona Gulfstream globetrotter iko kazini binamu wake wa kaskazini yuko ICU š
Wacha kufananisha gulfstream na upumbavu wa Fokker! Kunyaland nzima hakuna gulf stream registered under 5Y-ā¦Naona Gulfstream globetrotter iko kazini binamu wake wa kaskazini yuko ICU š
Kenya has twice madeni kuliko TzHela za ndani na deni limefika 35bn USD. Tayari suluhu ashakopa 2.5bn kutoka Korea. View attachment 3018634
Kwa demand yenu ndogo ya umeme, tenasco walidhania Kenya tutaingia makubalianao kukunua huo umeme lakini tukaenda Ethiopia. Sasa mmebaki na umeme usio na kazi, wazungu wanaita miradi Kama hio White Elephant!!Hiv kama umeme umekuwa mwingi. Si wapunguze bei ya unit za umeme watu watumie umeme kwenye kila kitu? Umeme utumike.
Watu wanajibana kutumia majiko ya umeme,washing mashine, friji, nk kwa sababu gharama bado ni kubwa kwa mtanzania wa kawaida
It is still manageable economically. It accounts to 40% ya GDP but yenu ni 90% ya GDPUnaita 35 billion dollars peanutsšš
Na kwa ground big zeroUnaita 35 billion dollars peanutsšš
Haya majamaa ni mapunga sana.
Yaani yanaona kwamba eti Bora yakaagize ngano au mahindi mbali huko kwamba ni kuikomoa Tanzania.
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1802271697145397446?t=RAHV5bi8aEUntuhrjrwWiQ&s=19
Kwa taarifa Yao tuu ni kwamba Tanzania Ina my trade zaidi na SADC countries kuliko hao vibaraka wa Beberu.
Upumbavu huo Hatuwezi fanya,njaa inaamua nani mshindi saizi ni mapema sanaVumbistan is a hostile state, mlileta wenyewe policy kwamba Kenyan traders wasinunue mahindi directly kwa wakulima mpaka watumie local company, matokeo yake ni Maize imports from Tanzania decline sharply.
These people are confused. They seriously believed they're the boss and can twist us the way they want with their maize stuff. I remember telling people here that the buyer is the boss hawakuskia. Sahii wanalia eti tuko na protectionism. Watajua nani ndio boss.šššVumbistan is a hostile state, mlileta wenyewe policy kwamba Kenyan traders wasinunue mahindi directly kwa wakulima mpaka watumie local company, matokeo yake ni Maize imports from Tanzania decline sharply.
Proves to us kwamba our debt to GDP ratio imefika 90% niondoke JF. Meanwhile Tanzania ratio imefika 46% na inapanda kwa mbio.It is still manageable economically. It accounts to 40% ya GDP but yenu ni 90% ya GDP
"Mwenye pesa sio mwenzako"These people are confused. They seriously believed they're the boss and can twist us the way they want with their maize stuff. I remember telling people here that the buyer is the boss hawakuskia. Sahii wanalia eti tuko na protectionism. Watajua nani ndio boss.ššš
Cc. Geza Ulole
Mulidhania mutatukomoa kijinga kama kina Burundi š š šUpumbavu huo Hatuwezi fanya,njaa inaamua nani mshindi saizi ni mapema sana
Muda utaamua,mtakuja kulia tenaMulidhania mutatukomoa kijinga kama kina Burundi š š š
Pengine muzuie malory ya Zambia yasipite vumbistan ama meli zisitie nanga Mombasa.Muda utaamua,mtakuja kulia tena
Zambia Ina njaa,inategemea Tanzania Kwa Sasa na Zambia haijawahi kuwa soko la Tanzania.Pengine muzuie malory ya Zambia yasipite vumbistan ama meli zisitie nanga Mombasa.
Huna habari Ethiopia kachemka ku supply umeme kenya ana supply chini ya kiwango mlichokubaliana ndio maana kila siku load shedding aka system disturbance dailyKwa demand yenu ndogo ya umeme, tenasco walidhania Kenya tutaingia makubalianao kukunua huo umeme lakini tukaenda Ethiopia. Sasa mmebaki na umeme usio na kazi, wazungu wanaita miradi Kama hio White Elephant!!
-The current maximum demand was recorded in August 2023 at 1,482.80 MW
Sisi tulishapita huko kitambo na tukafanya wonders za kutosha, pambaneni mtafikaThe calm before harambee starlets U17 quality for world cup...
View attachment 3018640View attachment 3018641
Hii ni Fokker mkuu, Gulfstream anapanda president pekee.Naona Gulfstream globetrotter iko kazini binamu wake wa kaskazini yuko ICU š
Asante kwa TBTSisi tulishapita huko kitambo na tukafanya wonders za kutosha, pambaneni mtafika View attachment 3018686View attachment 3018687View attachment 3018688