Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Our system of governance works for us no need of protests ukisikia our government ni sikivu sio maneno tuu bali our government listen to its people and implement their wishes we also have an elaborate system consultation before any decisions arr reached. Ours is an open governance system.
Ndoto za alinacha.., Tanzania ya CCM 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂.., utapigwa na wenzio.,
 
Baada ya kuibadilisha, ama hiyo hautaki?.., sisi hatukuitaka even though waliondoa punitive clauses, we needed to send a message, kama walikua na kende si wangeipitisha walivyokua wamependekeza bila kubadili lolote, Kenya sio Tanzania, nina furaha!! 🔥🔥😂😂😂😂😂
Baada ya kubadilisha nn??? Ohhh Sisi Nye Nye Nye Tuna budget kubwa haya kiko wapi SASA , nchi haina hata mradi mmoja mkubwa wakimaendeleo alaf muko hapa kupigia watu kelele😂😂😂😂

Haya Niambie kwenye budget yenu wamebadilisha nn hakuna kilichobadilishwa na kupita imepita na watu wamekufa juu
 
Mmekosa ya kuongezea kutoka Dar, hamna zaidi, yaani pumzi kwisha!.., sasa ni kutafuta pakutokea, Kiswahili chenu ni rahisi sana., mtoto mdogo atawaelewa vizuri sana, hamna ujanja, kuwa mgeni wangu😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.,
Dar ndio inawanyima usingizi kila siku humu ndani 😂😂😂😂😂😂

SASA hvi mumebakia kurusha ngumi za hewani Tu, sisi Nye Nye nyeeeee
 
Dar ndio inawanyima usingizi kila siku humu ndani 😂😂😂😂😂😂

SASA hvi mumebakia kurusha ngumi za hewani Tu, sisi Nye Nye nyeeeee
Utalia hadi basi, haibadilishi lolote ng'o!🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
 
Ndoto za alinacha.., Tanzania ya CCM 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂.., utapigwa na wenzio.,
CCM inatawaliwa na watu makabila tofaut tofaut, nyinyi toka mupate Uhuru ni kabila mbili Tu ndio zimetawala out of 100 tribes

Kama sio kalenjin basi Kikuyu full stop😂😂😂

Alaf mulivo mafala eti mulidanganywa Uhuru na ruto wamekosana haya kiko wapi SASA 😂😂😂😂😂

Nchi imekufa inanuka kila Kona nikipita watu wanalalamika wamechoka na umaskini 😂😂
 
Utalia hadi basi, haibadilishi lolote ng'o!🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Munakwenda mbio na nchi imeanza kujengeka within 20 yrs period wakat Kenya toka mkoloni inajengeka haya kiko wapi SASA, tulifkiri muko level sawa na Singapore ila mambo kwa ground Burundi iko mbele yenu😂😂😂😂😂
 
Baada ya kubadilisha nn??? Ohhh Sisi Nye Nye Nye Tuna budget kubwa haya kiko wapi SASA , nchi haina hata mradi mmoja mkubwa wakimaendeleo alaf muko hapa kupigia watu kelele😂😂😂😂

Haya Niambie kwenye budget yenu wamebadilisha nn hakuna kilichobadilishwa na kupita imepita na watu wamekufa juu
Finance Bill sio budget mwenzangu , kumbe hauwelewi chochote, it's just a fiscal policy, tafuta breakfast ule🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Finance Bill sio budget mwenzangu , kumbe hauwelewi chochote, it's just a fiscal policy, tafuta breakfast ule🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sisi tuna budget kubwa Sisi Nye Nye nyeee, ohhh Sisi wazungu weusi, Sisi ni USA ya Africa 😂😂😂😂😂😂 ruto kawatekenya kidogo nishaanza kuuwana

Muishi kwenye maisha yenu na uhalisia wenu acheni Ku fake maisha dunia ishabadilika SASA inawacheka 😂😂😂
 
Munakwenda mbio na nchi imeanza kujengeka within 20 yrs period wakat Kenya toka mkoloni inajengeka haya kiko wapi SASA, tulifkiri muko level sawa na Singapore ila mambo kwa ground Burundi iko mbele yenu😂😂😂😂😂
Kiswahi tu, hausemi lolote!.., boss ni pale pale, hakuna chenye unabadilisha, Wacha kutumia nguvu nyingi., Tanzania ni Tanzania ilivyo., Kenya ni Kenya, wewe fikra zako ni zako tu, unasukumwa na ma feelings tu, kila kitu Kiko wazi huna uwezo wa kuondoa wala kuongezea, Wacha kujiliwaza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣
 
Sisi tuna budget kubwa Sisi Nye Nye nyeee, ohhh Sisi wazungu weusi, Sisi ni USA ya Africa 😂😂😂😂😂😂 ruto kawatekenya kidogo nishaanza kuuwana

Muishi kwenye maisha yenu na uhalisia wenu acheni Ku fake maisha dunia ishabadilika SASA inawacheka 😂😂😂
Kauli yako hii, hizi ndio fikra zenu kwetu., mtanyooka., numbers never lie., mpo mpo tu, haubadilishi lolote ata ulie mwaka mzima🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kiswahi tu, hausemi lolote!.., boss ni pale pale, hakuna chenye unabadilisha, Wacha kutumia nguvu nyingi., Tanzania ni Tanzania ilivyo., Kenya ni Kenya, wewe fikra zako ni zako tu, unasukumwa na ma feelings tu, kila kitu Kiko wazi huna uwezo wa kuondoa wala kuongezea, Wacha kujiliwaza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣
Kizungu chenu feki hakiwasaidii?😎😎😎
 
Yaani Tanzania ni one sided decisions kwa miaka yoote kisha mnalia kwa mitandao za kijamii alafu hamna action, yaani wewe ni mpumbavu sana, unajipiga risasi kwa mguu.., linyani halijiangalii linakurupuka tu, nenda Kawaambie Watanzania wenzako hivi utapata jibu, mandazi wewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lia kabisa 🤣🤣🤣
 
Kiswahi tu, hausemi lolote!.., boss ni pale pale, hakuna chenye unabadilisha, Wacha kutumia nguvu nyingi., Tanzania ni Tanzania ilivyo., Kenya ni Kenya, wewe fikra zako ni zako tu, unasukumwa na ma feelings tu, kila kitu Kiko wazi huna uwezo wa kuondoa wala kuongezea, Wacha kujiliwaza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣
Mulikua munatutukama 90s Huko mpaka 2000+ hapo haya SASA matusi yakwap tena, na Sisi tulijua mushafika level za singapore Huko kumbe wenzetu badala kwenda mbele mulikua munarudi nyuma 😅😅😅😅😅😅

Nchi imefika pahala haina hata mradi mmoja wa maana unaofanywa na serekali na bado munapanua vipumulio Tu

Nchi imefika hatua hata stadium SASA inajengwa na kumilikiwa na wachina 😅😅😅
 
Back
Top Bottom