Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na tayari naona wakikuyu wameshaanza kuutaka urais; ha ha ha hawa nyang'au ni shida kweli kweli😎😁
Kikuyu hawataki Kelenjin wapumue. Ikitokea Jaluo akatawala nchi hiyo tutasikia Matusi mengi mno.
Tunakumbuka Mungiki walivyoanzishwa na akina Uhuru. Dalili za Mungiki kurejea zipo wazi kabisa.
 
Ebu linanisha na hizi za bongolala CBD. 🤣 🤣 🤣
IMG_3119.JPG

G+Kariakoo+Congo+street+clean+2.jpg
Duh zamani sana alooo, tangu DDC ipo hivyo, duh
 
Acha ubishi. Ukitaka nitakuumbua sana. Huniambii chochote kuhusu hio Nairobi na kenya yenu

Hio Kilimani, hurlingam, kileleshwa, lavington mpaka kule kwenye slum ya kawangware inayonuka horizontal landscaping na developments ni aibu tupu.
Tukianzia YaYa centre pale, sewage za pale hazijawahi kauka Barabarani ni mwaka sasa kila nikienda Nairobi sewage zimekuwa mto kabisa, Barabara nyingi za Kilimani zina open sewage gutters, uchafu haukusanywi.

Anyway subiri next month nitakuwa huko nitaleta picha
Nimeuliza swali rahisi sana, nionyeshe kwa evidence mtaa ulio na barabara bora hapo Dar kuliko Kilimani. Sasa hizi story zote ni za nini? Inaonyeshe nimekushika kwenyewe. 🤣 🤣 🤣
 
I see well marked roads with lined drains. Meanwhile, here is Mbezi, your upper middle class neighborhood. Ukitoa main road zengine zote ni vumbi. Halafu hata hiyo main road drains hazipo.

Screenshot 2024-06-19 140531.png




View: https://www.youtube.com/watch?v=S5urdoDJiGA

Huwezi pata huu upuzi Kilimani. Huyo Explore with Bertin alijaribu kutafuta viaibu Nairobi ila bado hakupata vitu kama hivi.

View: https://www.youtube.com/shorts/YdCzRqVDxmQ
 
Ahsante kwa kuleta ushahidi. Hapo juu kidogo kama unaelekea kwenye slum ya Kawangware kuna bonge la leaking sewage nimeiona mwaka sasa maji meusiii

Halafu ndo wanaita sijui coolest Neighborhood in Africa sijui vitu gan. Ujinga mtupu
Tuonyeshe za Dar basi tufanye comparison. Maanake unaongelea Nairobi pekee wakati maeneo yenu ya hadhi yapo hivi.


View: https://www.youtube.com/shorts/YdCzRqVDxmQ
 
Unajitetea nini? Hii ni sinza 12 km from Dar city centre
Angalia horizontal infrastructure zilizopo sinza

View: https://youtu.be/tzGlKdM3BXU?si=c4DwAoKN66c62Mbk

Bagamoyo road yani tena main road pekee ndio unatuonyesha, nimeuliza barabara za mitaani kama nilivyoonyesha za Kilimani. Naweza nikakuonyeshe more than 50km from Nairobi kwa main road na utaona kama hii video yako ni upuzi. Hii hapa 40km from CBD utasemaje.
Screenshot 2024-06-19 141549.png
Screenshot 2024-06-19 141613.png
Screenshot 2024-06-19 141849.png
 
Back
Top Bottom