Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti jengo kwa ajili ya ubalozi, yn ubalozi ndiyo ujenge twin towers with 22 floors? Haki huyu mtu ana laana, kuna siku atakuja mzalendo atamfunga mjinga huyu.
What is the source of income ya foreign ministry? Yaani anatuona wa tz wajinga. Kila wizara anayopita lazima aharibu. Hata mzee wake yupo hivyo hivyo. Ni family ya hivyo.

Foreign ministry siku hizi inafanya biashara?
 
Unadhani alikuwa hovyo Kwa Kila kitu? Hata katili Huwa muungwana Kwa Baadhi ya watu.

Vitu vya hovyo alikuwa hakubali kufanya ingawa maamuzi yake mengi yalikuwa ya jazba na yasiyoshirikisha.

The problem iliyopo Sasa ni kuamini Kila kinacholetwa mezani,hata kama kinaleta pesa but Kwa maslahi ya utaifa sio sawa.
Kabla ya kuisha huu mwaka tutakuwa tunaongea lugha moja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyo mwenyewe anaeongea hivi anaishi kwa hela hizo hizo za CCM. Anawachora tu!! Unajia Tanzania unasikia wewe!!
Unapinga message ama mleta message, Kama ni hio ya mwisho naweza kuletea tweets Kama hizo mpaka useme tosha...
 
Ukitaka kwenda mpanda kutoka kigoma kwa lami, barabara ipo. Ila ni yeye to kaamua kupita hizo back roads. Ukiamgalia kama unaakili timamu utaona kabisa, economic activities ni chache sana, hatuwezi weka pesa kwenye sehemu ambazo watu ninwachache sana. Hatujengi barabara kwa ajili ya kiwafurahisha wakenya au YouTubers!!
Wacha uongo wee, hamna barabara ya lami kutoka Kigoma kwenda Mpanda. Barabara yenyewe hii. Hata Google maps inaonyesha vumbi.
Screenshot 2024-06-20 093833.png

road-mpanda-kigoma.jpg
 
Kabla ya kuisha huu mwaka tutakuwa tunaongea lugha moja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sio rahisi Kuna watu washenzi wachache wachache kwenye serikali ya mama ambao ni opportunist na yeye probably Kwa kuwa hakuwa muumini wa sera za Magufuli anadhani wanaweza fanya nae kazi but most of them are washenzi.

Nasimama na mama ,mengi amefanikisha ni mazuri ukiacha hizo shortcomings za hapa na pale 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C8bT0wDsS9e/?igsh=M2FlMTJsbXF3ZGN2
 
Sio rahisi Kuna watu washenzi wachache wachache kwenye serikali ya mama ambao ni opportunist na yeye probably Kwa kuwa hakuwa muumini wa sera za Magufuli anadhani wanaweza fanya nae kazi but most of them are washenzi.

Nasimama na mama ,mengi amefanikisha ni mazuri ukiacha hizo shortcomings za hapa na pale 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C8bT0wDsS9e/?igsh=M2FlMTJsbXF3ZGN2

Unajua issue ilikuwa ngumu sana kwake wakati anaingia kuwa kiongozi wanchi.
1. Mwanamke wa Kwanza kuwa kiongozi mkubwa nchini
2. Unakuwa kiongozi baada ya kiongozi mkuu kufariki.
3. Anaingia madarakani sasa, lazima aweze kubalance (Kuna watu wameumia kuondoka kwa kiongozi, kuna watu wamefurahi, kuna watu wapo normal, kuna watu wanataka kuexecute interests zao) Kulikuwa na mvurugano.

The good thing ameweza kutuliza nchi.
Watu kama akina February wanajiona kuwa wao ni watoto pendwa. Kumbe she want them to show their stupidity in the public. Ona sasa wanayoyafanya.
 
Unajua issue ilikuwa ngumu sana kwake wakati anaingia kuwa kiongozi wanchi.
1. Mwanamke wa Kwanza kuwa kiongozi mkubwa nchini
2. Unakuwa kiongozi baada ya kiongozi mkuu kufariki.
3. Anaingia madarakani sasa, lazima aweze kubalance (Kuna watu wameumia kuondoka kwa kiongozi, kuna watu wamefurahi, kuna watu wapo normal, kuna watu wanataka kuexecute interests zao) Kulikuwa na mvurugano.

The good thing ameweza kutuliza nchi.
Watu kama akina February wanajiona kuwa wao ni watoto pendwa. Kumbe she want them to show their stupidity in the public. Ona sasa wanayoyafanya.
Mimi Bado Niko na mama ,ila arekebishe mambo kadhaa ,Kwa Sasa ameshika hatamu vyema anaweza kupindua meza kadiri anavyoona inafaa.

My Take: Sitegemei kwamba ni malaika atafanya 100%
 
Always ni wao tu wanalalamika na kuisema vibaya Tanzania.
Hata huyo Aliyekuja kujaribu treni. Mara aseme blackout. Wakati wanakuwa wanachange source ya power na anaona treni inatambea.

Yaani ni kama wana mission moja ya kuharibu image ya Tanzania Duniani ionekane mbaya. Wanaona Tanzania inawaacha mbali so kazi walionayo ni kuiponda kila wakipata nafasi.

Mwingine nimemuona jana kwenye YouTube yake anasema Airport Road is too dusty😂 wakati iko under construction na wanaweka BRT system.

Kimsingi tunaishi na wachawi karibu.
Kuna power stations kila baada ya km kadhaa all these power stations tap electricity from different points along the national grid between each section there is a neutral zone.
Haya ni mambo ya electric train watu wa trains za diesel hawawezi kujua hii ni technology ya juu sana kwao 😁
 
Back
Top Bottom