Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KQ Imepata 35% increase in passengers na kufikia whooping 5M, usilete kunguni kwa pride of Africa..View attachment 3019403
Kwnn walighairi kuongeza mishahara ya wafanyikazi wake kwa 100% kama walivyosema hapo mwanzo? Walitaka kujipapatua kama ilivyo kawaida ya wakenya lkn uhalisia ukawaumbua, hivi tunavyoongea kq inataka kupunguza wafanyakazi.
 
Kwnn walighairi kuongeza mishahara ya wafanyikazi wake kwa 100% kama walivyosema hapo mwanzo? Walitaka kujipapatua kama ilivyo kawaida ya wakenya lkn uhalisia ukawaumbua, hivi tunavyoongea kq inataka kupunguza wafanyakazi.
Watchman unaruka ruka hujielewi sasa umeachana na passengers umeingia kwa wafanyikazi. Do you know that KQ workers grew from 3825 (2022) to over 4000 now. Ni aibu sana raia kutoka vumbistan kuleta ubishi kwenye hii sector.
IMG_20240617_162009.jpg
 
Hivi kwenye Berlin conference Urusi walichukua maeneo gani vile, au hiyo historia umeisahau?
Kwa hiyo yeye anakomaa na majirani tu.Mkuu Urusi Alishakuwa mkoloni enzi Hizo.Alaska iliwahi kuwa chini ukoloni wa kirusi baada ya kuvamia na baadae Urusi akauza Marekeni.Urusi ilitaka kuitawala Finland kupata access ya Baltic sea lakini alishindwa .Kwangu Mimi Mrusi ni mkoloni kama wakoloni wengine sema itikadi zake ndio zinamgombanisha na Magharibi toka Karne na karne
 
Hilo neno lilianza kutumiwa sana na Nyerere kabla na baada ya kuvunjika kwa EAC katikati ya miaka ya sabini akiwaita wakenya hivyo, yaani ni kama mafisi vile. Ingawa pia ni jina la ukoo huko Kenya😎😎
Nakumbuka miaka ya kuvunjika jumuia ya Africa mashariki RTD mazungumzo baada ya habari walikuwa wakisema ole wake nyang'au mzoga utakapoisha watalia na kuomboleza kwa kupenda vya bure
 
Mm nikiwa naenda ulaya au Marekani sithubutu kupanda hiyo ndege, ma delays ma cancellation kama yote on daily basis, kila siku ugomvi na abiria, hiyo ndege au daladala.
Halafu wakunya wanaidhalilisha sa Africa yetu kwa kuihusisha kwenye mambo yake ya hovyo.
So, New York wanaona kumbe pride ya Africa ni huu uchafu.
Inabidi AU iweke restrictions kwa mashirika na Makampuni juuu ya matumizi ya jina Africa. Hii ni kudhalilishana kabisa
 
Back
Top Bottom