Heathrow kupata slot ni shida congestion ni kubwa sana ila nasikia Air Tanzania anayo slot pale sasa sujui kana hujaitumia will it still be valid ama?No way. Gatwick iko kushoto. Ndio maana flight from same airline ya kushukia Gatwick is cheaper than kushukia Heathrow.
Congestion ya nini wakati Kuna Heathrow Express to London Paddington achilia mbali tube. There is no way anayeshukia Gatwick akamuwahi anaeshukia Heathrow ndio maana tiketi za Gatwick ni cheaper wanajua hussle yake.