Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 asante Tanzania kwakua mkombozi na kuondoa aibu kama hzi east Africa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshots_2024-06-13-20-09-26.png
 
Hii sio coincidence lazima ni government's system sabotage haiwezekani mauzo yetu ya mchele Kunyaland yaporomoke hivyo kutoka 65k metric tones 2023 mpaka 16k metric tones 2024 lazima kuna sera mbovu za mipakani Kunyaland wameimpose kudhoofisha ease of access lakini walivyo wajinga hawajui tuna other 7 neighbors na biashara yetu kubwa ni SADC wala sio EAC
View attachment 3016493
View attachment 3016492
Wanafanya hivyo hata kwenye mahindi ,walianza mwaka juzi.Mnunuzi mkibwa wa Mchele Wetu Kwa Sasa ni Uganda.
 
Sasa wewe maskini unajua nini kuhusu magari? Unajua hata bei ya wiper ya Suzuki Alto?
Wewe kima kama umeanza kuona magari ulivyofika Nairobi, mimi sio wewe mbwa wewe, mimi nimezaliwa uani kwetu kuna magari yamepaki already. 🤣🤣🤣

Hujawahi hata kuona shawarma inafananaje halafu unaniuliza kuhusu magari.? 🤣🤣🤣
 
Wewe kima kama umeanza kuona magari ulivyofika Nairobi, mimi sio wewe mbwa wewe, mimi nimezaliwa uani kwetu kuna magari yamepaki already. 🤣🤣🤣

Hujawahi hata kuona shawarma inafananaje halafu unaniuliza kuhusu magari.? 🤣🤣🤣
Wewe jamaa juu ulikula Smocha ya 110 sasa hatutatilia? Kwa mambo ya magari achana nayo kabisa cause you don’t know anything there.

Kwanza ushanunua kitanda? Ama tukuchangie pesa ununue?

Huna kitanda alafu pia unakula takataka.
 
Wewe jamaa juu ulikula Smocha ya 110 sasa hatutatilia? Kwa mambo ya magari achana nayo kabisa cause you don’t know anything there.

Kwanza ushanunua kitanda? Ama tukuchangie pesa ununue?

Huna kitanda alafu pia unakula takataka.
Najua kwamba nakuumiza sana kichwa, we endelea kuteseka 🤣🤣🤣 ndio furaha yangu.
 
Najua kwamba nakuumiza sana kichwa, we endelea kuteseka 🤣🤣🤣 ndio furaha yangu.
Maskini haeziniumiza kichwa hata kidogo. Leta number yako nikutumie pesa ya hii month hili uache kusumbua wasichana wa wenyewe.
 
Back
Top Bottom