Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,892
- 103,757
hili pagala lenye ukurutu hutaki kuliongelea sio? na ramps za zege badala ya airbridge! kule juu mabanda ya nguruwe nn?Look at the service buses at JKIA
View attachment 3016254
hili pagala lenye ukurutu hutaki kuliongelea sio? na ramps za zege badala ya airbridge! kule juu mabanda ya nguruwe nn?Look at the service buses at JKIA
View attachment 3016254
Hata kama ni ofisi ya uchawi siwezi kubali utumbo kama huo. Nyang'au wewe!! Document hata kiweka proper seal au stamp ya lawyer huwezi?? Huki muhuri wa lawyer tunagonga hata kwa 20,000 tu.Ofisi ya uchawi ama?
Wewe unafikiria kutuma pay lip. Huku watu wanataka kukutumia income statement na balance sheet.Mimi huwa sipigi food picha. I’m not primitive like most of you here. Leo nimeamua kuwakera and with that let me post a payment receipt ya last month😂😂😂
Ngoja siku ntakujia uganga ndio uniambie hizo ujinga zako.Hata kama ni ofisi ya uchawi siwezi kubali utumbo kama huo. Nyang'au wewe!! Document hata kiweka proper seal au stamp ya lawyer huwezi?? Huki muhuri wa lawyer tunagonga hata kwa 20,000 tu.
Pay lip ni nini?😂😂😂Wewe unafikiria kutuma pay lip. Huku watu wanataka kukutumia income statement na balance sheet.
Huna jipya wewe. Mtu gani hata tofauti ya shawarma na chapati hujui 😂😂
Show us those terminals nitoke JF sasa hivi maneno mengi ya nini?Asante for contradicting yourself. So JKIA Haina buildings where passengers board and disembark from planes? JKIA has more than 5 terminals in a circular building and another 1 terminal in temporary separate building.
Wazee wa kupaka rangi na kuiita BRT hii designation yao ya terminal ni similar na BRT ya kuchora 🤣🤣🤣🤣Wewe kima uwanja wa ndege haueezi kutajwa kuwa na terminals mbili au tatu kama hizo majengo sio separate, otherwise ukitaka iwe hivyo ni vichumba ti vilivyopewa majina kwamba ni terminals kama mnavyofanya hapo taifa la kipumbavu. 🤣🤣🤣 there's only single terminal in JKIA
Terminal 1AShow us those terminals nitoke JF sasa hivi maneno mengi ya nini?
Hao wanafikiria terminals lazima zikuwe separated buildings in different locations 😂😂😂
Jua kali terminals 🤣🤣🤣🤣Wewe kima uwanja wa ndege haueezi kutajwa kuwa na terminals mbili au tatu kama hizo majengo sio separate, otherwise ukitaka iwe hivyo ni vichumba ti vilivyopewa majina kwamba ni terminals kama mnavyofanya hapo taifa la kipumbavu. 🤣🤣🤣 there's only single terminal in JKIA
Terminal 1B and CShow us those terminals nitoke JF sasa hivi maneno mengi ya nini?
Ukiwaona wakitamba wakipost terminals za Airports za China unaweza dhani wana terminals kumbe ni hiki kimabati rolling mills. Hizo terminal wanazoongelea ziko wapi?😂😂😂JNIA pamoja na hizo terminal tatu is handling the same number of passengers as Mombasa.😂😂😂
Hii ni chumba au ni terminal wewe shamba boy.? 🤣🤣🤣🤣
Show me all terminals at JKIA usilete picha za upande upande hapa. Halafu orodhesha terminals zote za JKIA nikufundishe kitu.
Terminal 2Show us those terminals nitoke JF sasa hivi maneno mengi ya nini?
Wewe maskini this is a terminal. Najua you don’t know what a terminal is.Hii ni chumba au ni terminal wewe shamba boy.? 🤣🤣🤣🤣
The most modern terminal in EA bisha kwa facts na sio kwa uzoefu wa ubishi.Ukiwaona wakitamba wakipost terminals za Airports za China unaweza dhani wana terminals kumbe ni hiki kimabati rolling mills. Hizo terminal wanazoongelea ziko wapi?😂😂😂
View attachment 3016286
Na iko na ndege mbili pekee😂😂😂Ukiwaona wakitamba wakipost terminals za Airports za China unaweza dhani wana terminals kumbe ni hiki kimabati rolling mills. Hizo terminal wanazoongelea ziko wapi?😂😂😂
View attachment 3016286
Next time ukitaka kuenda kukula uniambie nikuongeze pesa sawa? Huezikula food ya 110 Alafu unapigamba nayo hapa.Hii ni chumba au ni terminal wewe shamba boy.? 🤣🤣🤣🤣
Hivi hapa wewe umebisha kwa facts?The most modern terminal in EA bisha kwa facts na sio kwa uzoefu wa ubishi.
That terminal is very small btw. It's just that the Airport handles very little traffic hence looks empty ndio wanaona ni kubwa. JKIA is always busy.