Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona denial and anger stage zilipita, sahizi muko kwa bargaining stage. Next ni depression alafu tufunge na acceptance.
Na hata ikitokea Gor Mahia ikiahirisha hiyo mechi kaa mkijua kama itaingia round ya pili japo najua haitaweza ila nitaiombea iingie round ya pili alafu ikutane na Yanga qumaaamaee alafu ikione cha mtema kuni, mana Yanga haianzii hatua za awali kama timu za Afrika mashriki, sisi tunaanzia hatua ya pili, sasa we ngoja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Heheheeee, CECAFA wameiomba Tanzania isaidie michezo hususan soka hapa EA wameleta michuano ya Kagame Tanzania, timu kutoka Congo (TP mazembe), Uganda, Kenya, Sudan n.k zitahudhuria, japo simba na Yanga bado hazija confirm mana ratiba zetu zinabana lkn CECAFA kupitia rais wao (Warace Karia🇹🇿) anaendelea kuzibembeleza Simba na Yanga zishiriki.

Kazi bado iko palepale mnuka mavi Teargas Gor Mahia itakuja alafu tuone sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hofu yangu hizi simba na Yanga hasa Yanga zinaweza kuleta watoto alafu tuwape sifa hawa mbwa waendelee kutusumbua humu, tia full mkoko ili ifahamike kabisa kwenye soccer sisi sio saizi yao.
 
Kumekucha Tena Muda wa kuwapa Doze watoto wa Mama Ngina Tunaendelea na BRT Phase IV
Kama kawaida yangu nachukua picha nikiwa naendesha beautiful Car
Teargas najua mpaka sasa hujapata msosi.
1718089850111.jpeg


1718089910150.jpeg


1718089957596.jpeg
 
Back
Top Bottom