RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,419
- 135,060
Wenzio tunasema too cheap italeta vurugu wewe unasema ghali? Nairobi-Mombasa bei gani?Mbona ghali mno na ndio inaanza, white elephant 🙌🙌😅😅😅
Wenzio tunasema too cheap italeta vurugu wewe unasema ghali? Nairobi-Mombasa bei gani?Mbona ghali mno na ndio inaanza, white elephant 🙌🙌😅😅😅
Tsh 31000= ksh 1550, wakati madaraka express inazinduliwa ilikuwa 1000. Utanielewa once traders ditch it.Wenzio tunasema too cheap italeta vurugu wewe unasema ghali? Nairobi-Mombasa bei gani?
Tsh 31,000 ghali. Kwenda Dodoma. Wewe kweli ni mwehu.Mbona ghali mno na ndio inaanza, white elephant 🙌🙌😅😅😅
Wasisahau kuweka bia kwa ajili yetu wapenda bia. 😂😂😂
View: https://x.com/rydx_017/status/1800434801704575000?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Yanga tutapeleka team bHeheheeee, CECAFA wameiomba Tanzania isaidie michezo hususan soka hapa EA wameleta michuano ya Kagame Tanzania, timu kutoka Congo (TP mazembe), Uganda, Kenya, Sudan n.k zitahudhuria, japo simba na Yanga bado hazija confirm mana ratiba zetu zinabana lkn CECAFA kupitia rais wao (Warace Karia🇹🇿) anaendelea kuzibembeleza Simba na Yanga zishiriki.
Kazi bado iko palepale mnuka mavi Teargas Gor Mahia itakuja alafu tuone sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bus ni zaidi ya hio na so called traders hawaja ditch.Tsh 31000= ksh 1550, wakati madaraka express inazinduliwa ilikuwa 1000. Utanielewa once traders ditch it.
Duh Dodoma marathon here we come!This is Tanzania mzee. Tunataka tuwaonesha what life is. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hawaamini macho yao.
Acha wivu wewe nyang’au😎Mbona ghali mno na ndio inaanza, white elephant 🙌🙌😅😅😅
Madaraka from Nairobi to Mombasa 6 hrsTsh 31000= ksh 1550, wakati madaraka express inazinduliwa ilikuwa 1000. Utanielewa once traders ditch it.
Wasisahau kuweka bia kwa ajili yetu wapenda bia. 😂😂😂
View: https://x.com/rydx_017/status/1800434801704575000?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Transfer kwenda kshs ndiyo utajua sisi tuna akili kubwa kuliko ninyi.Mbona ghali mno na ndio inaanza, white elephant 🙌🙌😅😅😅
Wasisahau kuweka bia kwa ajili yetu wapenda bia. 😂😂😂
View: https://x.com/rydx_017/status/1800434801704575000?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Kwa bei hii ya Pugu 1000 wallahi hii tutaenda kuipanda pugu mana watu wa pugu wataijaza hii treni yote.Wenzio tunasema too cheap italeta vurugu wewe unasema ghali? Nairobi-Mombasa bei gani?