Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunarudi kwenye mambo yetu yale ya kula bata. Tunaeleke Mbezi Beach tunatua Kidimbwi Beach
Dar es salaam
1718040937471.png


1718041056109.png


1718041259074.png
 
Watanzania wana pesa, wakaenda kuijaza kigali maamaaeee, tunasubiri Gor Mahia Vs Yanga tukawatom.be huko huko kwao, nilikuwa naisubiri hii mechi ili mnuka mavi akae kimya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nilikuwa nawasubiri kwa hamu, wamejaa kwenye mfumo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
hq720 (2).jpg
maxresdefault (2).jpg
 
Yanga inaenda kuzindua Kisumu jua kali Stadium, Gor Mahia wameomba kucheza na Yanga, sasa nawaambia kabisa kama Gor Mahia itatoa sare na Yanga naondoka jamiiforums for good.

Nshamuandikia msg Hersi waweke full mkoko mana Yanga naijua kwa dharau, wanaweza kuweka kikosi dhaifu, sasa Hersi nishamchana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom