Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii pia ni fake, ila hutosikia Mkenya akisema ni original. Wewe umekwamilia Maybach zenu ni original wakati ni fake. 🤣 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kajifunze kuhusu magari Kwanza
 
Sio niache kuondoka hapa uondoke na elimu ya kujua tofaut ya models alaf la pili musikariri kua hakuna maybach S450 hio uchafu ondoeni kwenye akili zenu, alaf tatu musishindane na Tanzania kwenye magari huku vijana wadogo wanakanyaga gari za heshima tofaut na kwenu mpaka umkute joho au sonko au politician ndio anaendesha gari kama hzo 😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃

Haya nenda kapumzike
Umeshindwa kutuonesha Maybach moja hapo bongo.
Umeshindwa kutofautisha Maybach na S-Class.
E-Class model ya 2016 unasema ni 2024
Sasa nani aondoe uchafu akilini?
 
Umeshindwa kutuonesha Maybach moja hapo bongo.
Umeshindwa kutofautisha Maybach na S-Class.
E-Class model ya 2016 unasema ni 2024
Sasa nani aondoe uchafu akilini?
Narudia kukwambia kajifunze Kua maybach IPO mpaka S450, nenda kajifunze tofauti ya models alaf uje hapa tubishane🤣🤣🤣🤣

Haya Rudi kwenye I'd yako ya kila siku
 
Narudia kukwambia kajifunze Kua maybach IPO mpaka S450, nenda kajifunze tofauti ya models alaf uje hapa tubishane🤣🤣🤣🤣

Haya Rudi kwenye I'd yako ya kila siku
Maybach S-450 hii hapa kutoka website yao. Umeona hicho kioo cha nyuma? Umeona hakifunguki na mlango?
Nakupa hadi na link.
mercedes-maybach-s450-xam-senlenite-giaxemercedes-vn-2.jpg
 
Narudia kukwambia kajifunze Kua maybach IPO mpaka S450, nenda kajifunze tofauti ya models alaf uje hapa tubishane🤣🤣🤣🤣

Haya Rudi kwenye I'd yako ya kila siku
Hawa wakenya wanalazimisha vitu. Maisha yameshawatupa mkono. Tena ndugu yangu wewe ni mvumilivu sana. Mimi huwa siwezi kuvumiliana na stupid people. Tayari ningekuwa nimeshamalizana nao tangu juzi. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hii pia ni fake, ila hutosikia Mkenya akisema ni original. Hata caption yenyewe imesema ni S-Class, sio Maybach. Wewe umekwamilia Maybach zenu ni original wakati ni fake. 🤣 🤣
Ila nyie mna ubishi wa kishamba sana, kama Tanzania kuna G Wagon 63, Kuna watu wana aston martin, ferrari n.k what's so special about maybach?
 
Ila nyie mna ubishi wa kishamba sana, kama Tanzania kuna G Wagon 63, Kuna watu wana aston martin, ferrari n.k what's so special about maybach?
Kwa hivo tuseme gari ambalo sio Maybach tuliite Maybach kisa mna G Wagon 63, Aston Martin na Ferrari Bongo? Hivi ni akili unatumia kufikiria ama ni tako? 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom