Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
ichoboy01 atakuambia ni ati hii wiki Ksh itarudi 160. Alianza kuimba that song in March😂😂Shillingi bado inapaa kwa dollar📈View attachment 3013799
ichoboy01 atakuambia ni ati hii wiki Ksh itarudi 160. Alianza kuimba that song in March😂😂Shillingi bado inapaa kwa dollar📈View attachment 3013799
Maybe unamiliki Mercedes Benz W123😂😂Mm namilikia Benz na BMw so ni Aina ya gari kama hzo so huwez nidanganya anything kuhusu magari ikiwa mm namiliki alaf nibishane na MTU Hana hata baiskeli ya kusingiziwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hehehe unataka kufanana na mm au?? Unaweza lakini ??🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maybe unamiliki Mercedes Benz W123😂😂
BMW imepaki nje hapo inasubiri customer 🤣
Kama ni kubwa sema nitoeBMW imepaki nje hapo inasubiri customer 🤣
BMW ya Lamu 🤣🤣🤣🤣 USA ya africaKama ni kubwa sema nitoe
Mimi sio mkimbizi and I also know where my ancestors were buried. So hatuezifanana.Hehehe unataka kufanana na mm au?? Unaweza lakini ??🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yule papai wa coast yuko wapi!
View: https://x.com/tanfootball/status/1800076991971971308?s=46&t=4z9N13N0auLdtU4DeJ6fYw
Footballing nation with footballing losses in all matches they have played😂😂.A footballing nation 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Talanta ndiyo itafanya Klabu za Kenya zifanye vzr Africa? Talanta ndiyo itaipeleka national team yenu Afcon? Talanta ndiyo italeta wachezaji wakubwa kutoka mataifa mbalimbali kuja kucheza ligi yenu? Mana umejibu kama ng'ombe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya ni mambo ambayo Talanta stadium itasawazisha, tulia utaoana.
Nina furaha timu yangu ya Yanga imepata mialiko sehemu mbalimbali ikiwemo South Africa, Ulaya na Kenya, kuja kuzindua uwanja wenu kituko mnao renovate kila siku wa kisumu, sasa hiyo game ndiyo utajua kwa sasa Tanzania iko wapi kisoka, tutakuja huko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Footballing nation with footballing losses in all matches they have played😂😂.
Ita... tuta.... mentality, ila kwa sasa baki humu 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣Itasawazisha ama itanyamazisha? 🤣 🤣
Sasa wewe watchman unajua nini kuhusu soccer?Nina furaha timu yangu ya Yanga imepata mialiko sehemu mbalimbali ikiwemo South Africa, Ulaya na Kenya, kuja kuzindua uwanja wenu kituko mnao renovate kila siku wa kisumu, sasa hiyo game ndiyo utajua kwa sasa Tanzania iko wapi kisoka, tutakuja huko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣