Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani wanakuzawadia tuu bila kujua hali halisi mbona wasizawadie Tanzania? Unaweza kweli ukazawadia USA rice? Tumia akili wewe Ruto kaenda na request ya chakula.
Utatumia nguvu nyingi lakini wapi., mko pale pale, Tanzania ni ya kutafunwa, mafala kuruka
 
Tulikanyaga RED CARPET tukachoka., hii marais wote wamepitia, ni kama malaya hivi, wewe ulivyo liboya unamuoa malaya kisha unadhani eti ni bikra.., bana niondolee ujinga wenu., hehehehe..,jifunze kushirikisha ubongo nanii..,
View attachment 3009478
View attachment 3009474
View attachment 3009471
View attachment 3009473
Unajua hawaja zoea ajuza suluhu kuandaliwa red carpet, France alipokelewa kwa mkeka na mawaziri wake
😀😀😀


IMG_20240518_121757.jpg
 
Ikija Korea tushakula zao tukachoka, nyinyi ndio mnashtukia leo hii mnashangaa shangaa, tunaongoza na kutengeneza njia mnafata, kisha wamewacheza, washasoma akili zenu uchwara, madini lazima watafune.,

2022
View attachment 3009412
View attachment 3009413
View attachment 3009440

Kisha rais anakua na representative, sio kukutana na kila chura ovyo ovyo
View attachment 3009414
View attachment 3009415
View attachment 3009416
View attachment 3009417
2024

Mwaliko wa kila mtu, including Tanzagiza.., sio rasmi., South Korea African Summit.,
View attachment 3009428
View attachment 3009438

View attachment 3009430
View attachment 3009445

Naona unamuelewesha chizi...
😅😅😅
Mazuzu wawili mmekutana 🤣🤣🤣 nataka uniletee ni sh ngapi mmepata kutoka South Korea tangu 2022, .? Kwa mwaka huu pekee Tz imepata 2.5 billion dollars, 2014 Tz ilipata 700 million dollars.. 2020 Tz ilipata tena 300 million dollars. 👇Tanzania, South Korea sign deal over 300 mln USD concessional loans - Xinhua | English.news.cn. jumla ni kama 3.5 billion dollar deals in just 10 years. Nataka kujua mpaka sasa kenya imepata ngapi.? Usisahau kujumuisha na huu msaada wa unga 👇
downloadfile-16.png
🤣🤣🤣
 
Unajua hawazoea ajuza suluhu kuandaliwa red carpet, France alipokelewa kwa mkeka na mawaziri wake
😀😀😀


View attachment 3009484
Utakufa leo, mama in South Korea 👇
View: https://www.instagram.com/p/C7s9DTjtPzy/?igsh=MWg5dW9tcDhnYTJoZQ==
View: https://www.instagram.com/p/C7oa3BFNzXx/?igsh=MW9kMzZmdTYxOGhhdw== mama kapokelewa na Raisi w Korea mwenyewe, no wondertumeweza ku signdealsza pesa ndefu. 🤣🤣🤣 wewe kama inakuuma chomoa...

Yani Tz ime sign deals za pesa taslim Two billion dollars point something, sasa hiyo something is money than the deals you've signed. 🤣🤣🤣 Don YF. Naya feel maumivu yako
 
Mazuzu wawili mmekutana 🤣🤣🤣 nataka uniletee ni sh ngapi mmepata kutoka South Korea tangu 2022, .? Kwa mwaka huu pekee Tz imepata 2.5 billion dollars, 2014 Tz ilipata 700 million dollars.. 2020 Tz ilipata tena 300 million dollars. 👇Tanzania, South Korea sign deal over 300 mln USD concessional loans - Xinhua | English.news.cn. jumla ni kama 3.5 billion dollar deals in just 10 years. Nataka kujua mpaka sasa kenya imepata ngapi.? Usisahau kujumuisha na huu msaada wa unga 👇View attachment 3009483🤣🤣🤣
Apart from free rice it is hard to ascertain the exact figure 😬
 
Utakufa leo, mama in South Korea 👇
View: https://www.instagram.com/p/C7s9DTjtPzy/?igsh=MWg5dW9tcDhnYTJoZQ==
View: https://www.instagram.com/p/C7oa3BFNzXx/?igsh=MW9kMzZmdTYxOGhhdw== mama kapokelewa na Raisi w Korea mwenyewe, no wondertumeweza ku signdealsza pesa ndefu. 🤣🤣🤣 wewe kama inakuuma chomoa...

Yani Tz ime sign deals za pesa taslim Two billion dollars point something, sasa hiyo something is money than the deals you've signed. 🤣🤣🤣 Don YF. Naya feel maumivu yako

Hii hutaki kwa Hivyo👇👇
IMG_20240518_121757.jpg
 
Hao waarabu ambao nyinyi mnaona spesho sana, kwatu sisi ni ndugu zetu, jirani zetu, tunaishinao hadi uswahilini, Tandika, mbagala, tandale, sijui.wapi..... kila sehemu wapo. Tunahangaika nao, kama chumvi sina naemda kuomba kwake na yeye hivyo hivyo. Wapo makonda dala dala waarabu, wapigadebe waarabu, waigizaji bongo muvi waarabu, waendesha boda boda, badereva Malory, mpaka wauza vyuma chakavu na mateja......

Nyie kwenu si wanaishi south C Tu, mwarabu akipita madhare watau wanamfuata kumshangaa 😂😂
Kwa akili hizi waarabu wataendelea kuifyonza uswazistan mpaka karne ijayo. Nyote nyinyi ni wafanyikazi katika shamba la Mo dewji, Rostam Aziz na Awadh
 
Ikija Korea tushakula zao tukachoka, nyinyi ndio mnashtukia leo hii mnashangaa shangaa, tunaongoza na kutengeneza njia mnafata, kisha wamewacheza, washasoma akili zenu uchwara, madini lazima watafune.,

2022
View attachment 3009412
View attachment 3009413
View attachment 3009440

Kisha rais anakua na representative, sio kukutana na kila chura ovyo ovyo
View attachment 3009414
View attachment 3009415
View attachment 3009416
View attachment 3009417
2024

Mwaliko wa kila mtu, including Tanzagiza.., sio rasmi., South Korea African Summit.,
View attachment 3009428
View attachment 3009438

View attachment 3009430
View attachment 3009445
Kameumia kuona Tz imechukua pesa nyingi na wao kuambulia donnation ya msosi, msipende vya bure mbwa nyinyi mtaolewa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom