Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mazuzu wawili mmekutana 🤣🤣🤣 nataka uniletee ni sh ngapi mmepata kutoka South Korea tangu 2022, .? Kwa mwaka huu pekee Tz imepata 2.5 billion dollars, 2014 Tz ilipata 700 million dollars.. 2020 Tz ilipata tena 300 million dollars. 👇Tanzania, South Korea sign deal over 300 mln USD concessional loans - Xinhua | English.news.cn. jumla ni kama 3.5 billion dollar deals in just 10 years. Nataka kujua mpaka sasa kenya imepata ngapi.? Usisahau kujumuisha na huu msaada wa unga 👇View attachment 3009483🤣🤣🤣
Fukara anahitaji zaidi dogo.., mko hali maututi, oxygen lazima.,
 
Unafikiria Rugby players ni semi-illiterate kama nyie, ama ni level ya ma footballers ambao wengi ni mafukara wakutokea ghetto ama vijijini? sijawai kuona Rugby player who is not a college graduate or a professional in some career, sio kama footballers kuna wengi school dropouts, ama masikini, talanta ndio inawaokoa, ikija upande wa Rugby, Golf, Tennis or Cricket huku Kenya.., hawa sio ghetto types fukara.., kukurupuka tu bila uchunguzi unajiumbua..,
Lete mchezaji yeyote wa rugby ambaye ni tajiri nikuletee wachezaji matajiri Africa mashariki na kati kutoka Tz.
 
Kameumia kuona Tz imechukua pesa nyingi na wao kuambulia donnation ya msosi, msipende vya bure mbwa nyinyi mtaolewa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnahitaji hela, mko hovyo kiuchumi, miradi zimekwama, wakandarasi wanasusia kuenda site.., mmelemewa sana, hehehe
 
Lete mchezaji yeyote wa rugby ambaye ni tajiri nikuletee wachezaji matajiri Africa mashariki na kati kutoka Tz.
My point remains, rugby players ain't slum dwellers.., not about the level of wealth wala nini, sio sufferers, wengi hawanaga hiyo background ya wachezaji wa kandanda.., most ni graduates, elewa my point, niondolee ujinga wenu, hizi akili eti ndio zimeenda shule? kweli nakubali wewe ni watchman
 
kwahiyo mnajenga cruise terminal kwa ajili ya kamtumbwi cha uvuvi? na si meli kama hii?

View: https://youtu.be/Ot_DdoduC94?si=aJJKNGNP-KEMWOdG

Hilo sarafina la Nuhu haliwezi ruhusiwa kusogea kisumu, hio ni luxury terminal kwaajili ya milionares na holiday makers, sio makapuku kutoka mwanza...


IMG_20240605_130427.jpg
 
My point remains, rugby players ain't slum dwellers.., not about the level of wealth wala nini, sio sufferers, wengi hawanaga hiyo background ya wachezaji wa kandanda.., most ni graduates, elewa my point, niondolee ujinga wenu, hizi akili eti ndio zimeenda shule? kweli nakubali wewe ni watchman
Nakuona bado unazidi kumuelewesha chizi😃🙌
 
Tuliwaomba ama walituzawadi tu? a positive gesture for a long standing bilateral friendship and cooperation.,
Fala wewe walikuzawadia ukiwa kibera au ulienda kuomba kule kwao. Alafu hiyo wala siyo story Kenya na food donations, ila ingekuwa story kama ingekuwa Tanzania kaifuata hiyo food donation, kila mnapoenda mna expose ufukara wenu, kule Doha mkaomba mpk vibanda aloo, Wakenya msalieni Mtume wallahi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
My point remains, rugby players ain't slum dwellers.., not about the level of wealth wala nini, sio sufferers, wengi hawanaga hiyo background ya wachezaji wa kandanda.., most ni graduates, elewa my point, niondolee ujinga wenu, hizi akili eti ndio zimeenda shule? kweli nakubali wewe ni watchman
Sasa si ulete evidence, kwann unaoropoka tu bila evidence fala wewe.
 
Fukara anahitaji zaidi dogo.., mko hali maututi, oxygen lazima.,
Chuki zinakufanya unakua mpumbavu, anakopeshwa anaeweza kulipa tu and vise versa is true..

Hamna uwezo wa kulipa na ndio maana mkaonewa huruma mkapatiwa walau vibaba vya Mchele 👇
downloadfile-16.png
lazy kundurendas they can't even feed themselves. Mnatutia aibu Uganda huu, raising wenu anasafiri kwenda kuomba chakula ughaibuni. 🤣🤣🤣 qibu gani hii.?
 
Back
Top Bottom