Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
This oneYani huu uwanja haujakamilika yet ushaashinda stadium zote bongolala kasoro mbili kwa ubora. 🤣 🤣 🤣
Vs
This one 🤣🤣🤣🤣
This oneYani huu uwanja haujakamilika yet ushaashinda stadium zote bongolala kasoro mbili kwa ubora. 🤣 🤣 🤣
Maza anaupiga mwingiI really don't understand, mzee aliwekeza hapo bandarini sana ukizingatia na sera yake ya viwanda, alikua anafanyia kazi miundombinu ya bandari zote plus bandari kavu na alikua muda wote amewaweka karibu nchi zote zinazoitegemea Dar port, hakukua na ujinga na bandari ilikua inaendesheka bila shida.
Sasa Hapo now serikali inatoa toa tu kitu kilichokamilika kwa pesa za ndani si ujuha huu?
Mwendokasi taabu
Shilling taabu
Miradi inasuasua
Ila mambo ya kijinga ndio yanakula hela.
partners.getmoredonations.org
Ushamba mtupu mabikiki ya kizamani
Hii sHouses in the rural Kenya. Kenyans have money
View attachment 3005534
Unafananisha mbingu na ardhi!! Viwanajeshi vimekonda unafananisha na JWTZ?? Niliona wamekalishwa chini na polisi.Well trained. Sio kuvunja mawe na kujenga misuli kama JWTZ!!!
View attachment 3005535View attachment 3005536
Hivi Samia anaweza celebrate Independence day Sumbawanga ama kila kitu ni Makwapa? 🤣 🤣
Hamna electrified SGR, hamna cable stayed bridge, hamna BRT, hamna any CAF and FIFA approved facility, hamna EMU, hamna chakula, hamna big truck assembly plant like us, hamna akili, hamna ustaarabu, mnawezaje kuwa sawa na Tanzania?Yaani wewe unaona Kenya inaweza taka kufanana na Tanzania!? An LDC!?
Tutakuja kuwalipa pesa nyingi sana kuvunja mkataba akija rais mzalendo Geza Ulole nini maoni yako hapa.I really don't understand, mzee aliwekeza hapo bandarini sana ukizingatia na sera yake ya viwanda, alikua anafanyia kazi miundombinu ya bandari zote plus bandari kavu na alikua muda wote amewaweka karibu nchi zote zinazoitegemea Dar port, hakukua na ujinga na bandari ilikua inaendesheka bila shida.
Sasa Hapo now serikali inatoa toa tu kitu kilichokamilika kwa pesa za ndani si ujuha huu?
Mwendokasi taabu
Shilling taabu
Miradi inasuasua
Ila mambo ya kijinga ndio yanakula hela.
Hatuna 28 million people living in extreme povertyHamna electrified SGR, hamna cable stayed bridge, hamna BRT, hamna any CAF and FIFA approved facility, hamna EMU, hamna chakula, hamna big truck assembly plant like us, hamna akili, hamna ustaarabu, mnawezaje kuwa sawa na Tanzania?
Sehemu ni hii lakini kuna ya angle kubwa kiasi ulirusha hapa majuzi, naitaka hio picha nina matumizi nayo 😅😅😅CBD ya ghorofa tano kando ya barabara. 🤣 🤣 🤣
![]()
Hamna electrified SGR, hamna cable stayed bridge, hamna BRT, hamna any CAF and FIFA approved facility, hamna EMU, hamna chakula, hamna big truck assembly plant like us, hamna akili, hamna ustaarabu, mnawezaje kuwa sawa na Tanzania?
Uwapate wamepiga angle ya chini hizo gorofa nne zionekane alafu waipe filter kiasi waanze zile chocha zao mitandaoni utadhani wanaongelea Cape Town. 🤣 🤣CBD ya ghorofa tano kando ya barabara. 🤣 🤣 🤣
![]()
Barabara zote vumbi. 🤣 🤣 🤣Mtoni Kijichi Dar 👇👇
View attachment 3005807
Ila uswazi haupoBarabara zote vumbi. 🤣 🤣 🤣
Maana ya uswazi ni nini? Mitaa yenu mnaojivunia haina Lami. Nairobi huwezi pata mtaa wa middle class kuenda juu kama hauna lami.Ila uswazi haupo