I have been hearing same stories since Kibaki era 🤣🤣🤣
I have been hearing same stories since Kibaki era 🤣🤣🤣
🖕🖕🔨🔨😂😂Hili eneo huwa hamtaki kuonesha aerial view kabisa. Hapo kwa barabara main pekee ndio mnaonesha. 🤣 🤣
🖕🖕🔨🔨😆😆
Njombe is way better than Konza Slum 😁😁👇👇
CBD ya ghorofa tano kando ya barabara. 🤣 🤣 🤣
Mtoni Kijichi Dar 👇👇🤣 🤣 🤣
Panaitwa Kijitonyama. Kuna wendazimu wengine humu walikuwa wanapalinganisha na Upper Hill nyakati zite.🤣🤣
![]()
Ile yao ni godown wameweka benches.🤣🤣🤣Tanzania watuonyeshe ile indoor arena ya Makwapa!? Hii hapa ya Kasarani
View attachment 3005747
Yani hio area yote ikona flat roof moja.🤣🤣🤣🤣 Unadhani umetuonyesha kitu cha maana, kumbe ni ushamba tu.Mtoni Kijichi Dar 👇👇
View attachment 3005807
Bongo kwenye kudeal na hawa vinyago na wahalifu wengine wa ndani tupo njema, vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wapo vizuri sana, matukio ya nadra hayakosi lakini sio kujitwalia mamlaka kama KunyalandNdio matatizo ya Vyombo vya usalama kuzembea kujibu inshu zikianza kuharibu usalama wa Raia.
Panya roads wanasema eti watoto, mara haki za binadamu wakati wanakua na kua watu wazima? Ni kuwatia adabu kabisa hata kama ni watoto mizizi inakatwa.
Kuna ile ya Yakuza Mob, asee operations ilipita Dar ikawa shwari, wasichekee hao ni muda sasa kusafisha imagine AFCON tuanze kutukwanwa kisa wakora kukwapua vitu?
Wana taarifa kua Mkapa Stadium ipo Temeke tukutu ambayo mostly panya roads wanatokea ila Mechi zinapigwa hafi saa tano usiku na hakitokei kitu, simple tu ukileta ujinga ishu kubwa, wallah utajuta.
Ndio maana amani ipo Bongo, ukibip tunakupigia.
Sasa hao wameshinda nini? 😁😁So every participant huvalishwa medal? That's what you're trying to tell us
Pokot banditsHow many countries in Africa use these guns!?
View attachment 3005733
📌📌📌📌🔨Yani hio area yote ikona flat roof moja.🤣🤣🤣🤣 Unadhani umetuonyesha kitu cha maana, kumbe ni ushamba tu.
Sote tunajua less than five meters nyuma ya hizi sparkling glass towers ni uswazi hovels