Capt Richie
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 1,503
- 3,817
Downtown Nairobi
Hivi Samia anaweza celebrate Independence day Sumbawanga ama kila kitu ni Makwapa? 🤣 🤣Well trained. Sio kuvunja mawe na kujenga misuli kama JWTZ!!!
View attachment 3005535View attachment 3005536
Inaitwa participation certificate/ appreciation we ng'ombeBongolala huoni wamevishwa medali kwa shingo..
Ndio maana tunasema upo desperate.Yaani wewe unaona Kenya inaweza taka kufanana na Tanzania!? An LDC!?
manufactured by kiira motors!BasiGo has now gone full commercial in production of electric buses. Large body. This is for SuperMetro
View attachment 3005523
I really don't understand, mzee aliwekeza hapo bandarini sana ukizingatia na sera yake ya viwanda, alikua anafanyia kazi miundombinu ya bandari zote plus bandari kavu na alikua muda wote amewaweka karibu nchi zote zinazoitegemea Dar port, hakukua na ujinga na bandari ilikua inaendesheka bila shida.Naomba kuuliza. Why wanasaini kwa miaka 30?
So every participant huvalishwa medal? That's what you're trying to tell usInaitwa participation certificate/ appreciation we ng'ombe
Since when? Any proof?🤣🤣manufactured by kiira motors!
Wale wazushi wa DP World amekataza wawekezaji wengine waliishia wapi? 😁😁👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C7qxd0Toq-c/?igsh=MXg3OWNyanplNDFkdg==
Bandari inadidimia? 😂😂😂😂Huu nao ujuha, we fala amka dunia ya sasa ambayo resources zinadidimia ni muhimu nchi ikawa na resources ambazo ina full control zinazosaidia uchumi. Usituletee mifano ya nchi nyingine, maana nazo zinakua na kitu kinachoshikiliwa.
Haya ndio matokeo ya shilling kuboroga ni kukosa kitu kikuu kinachostabilize uchumi ambacho serikali ina control, Dhahabu tungekua na mkakati nayo toka 2000s unadhani tungekua na matatizo ya shiling kuporomoka?
Why ni mgawe bandari?
Mmeanza kushobokea hii Kiira Motors ni kama ni yenu. 🤣 🤣 🤣manufactured by kiira motors!
Characteristics za mnyonge asiye na uwezoMmeanza kushobokea hii Kiira Motors ni kama ni yenu. 🤣 🤣 🤣
Utawaona wanapost Kiira Motors, Ethiopian Airlines, Luanda City, China Cities n.k wakijipiga vifua Hadi unashangaa. Uzi ni WA Kenya na Tanzania, hizi nchi zingine zinahusikana aje? 😂😂Characteristics za mnyonge asiye na uwezo
Jana niliona mmoja wao akishangilia baada ya Boeng kuchagua Addis Ababa as its African headquarters, pipping Nairobi which was it's main challenger. Yani anafurahi wakati Dar didn't even come close to being one of the potential host citiesUtawaona wanapost Kiira Motors, Ethiopian Airlines, Luanda City, China Cities n.k wakijipiga vifua Hadi unashangaa. Uzi ni WA Kenya na Tanzania, hizi nchi zingine zinahusikana aje? 😂😂
Ni kama vile huwa wanabishana humu kati ya Army ya USA na Russia Gani kali. Sasa wanatufananisha na nchi zengine juu wao hawako.😂Jana niliona mmoja wao akishangilia baada ya Boeng kuchagua Addis Ababa as its African headquarters, pipping Nairobi which was it's main challenger. Yani anafurahi wakati Dar didn't even come close to being one of the potential host cities
Jifunze kwanza kuandika we kima.Ni kama vile huwa wanabishana humu kati ya Army ya USA na Russia Gani kali. Sasa wanatufananisha na nchi zengine juu wao hawako.😂