Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The same way they made noise when they revived ATCL. Ungedhani wameiteka usafiri wa anga ya Dunia. Leo hii ATCL inatengeneza hasara, ndege zake zinashikwa, zingine zimepaki kwenye maeneo ya matengenezo kwa mieze minane huku pia wakisuspend baadhi ya routes za kigeni. Haya yote ni ndani ya chini ya miaka mitano.

What they don't realize is, hizi biashara it's about the numbers. So far, tunawezasema sgr yetu kwa aina Fulani is making progress coz there are numbers and these numbers are only pointing to a brighter future.

Ningewashauri waache hizi kelele zao za sgr tusibiri ianze kazi rasmi Kisha waje hapa we compare notes
No future in Kenya, don't lie to yourself.
 
Remember also ATCL has never made any profit tangu ianzishwe😂😂😂
20231124_201338.jpg
 
Our two main stadiums are all under renovations. What did you expect.

And by the way, hubu tuoneshe kiwanja hata kimoja currently under construction hapo Tanganyika
So, miaka yote mmekosa approved stadia kwa sababu mmekuwa mkifanya renovation? Mbona Mkapa stadium unafanyiwa renovation na hakuna siku umesikia timu ya Tanzania inaenda nje kucheza mechi zake za kimataifa? Lame excuse indeed.
 
Wacha kujisumbua na Nyayo. Shugulika na lile gofu la Mwanza iitwayo stadium.
Viwanja vyenu havijakidhi vigezo kwasababu vinajengwa na mafundi wakenya, mnapaka paka marangi lkn CAF wakipima ubora wa uwanja wanakuta mchanga Lori nzima cement mfuko mmoja, je ungekuwa wewe unge approve huo uwanja? Si mnataka kuua watu nyinyi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kumbe Makwapa Stadium was also a grant from Chinese. Watanzania wanasaidiwa kila kitu😂😂😂🤣

View attachment 2993534
Mbona huoneshi taarifa yote? Unachoficha ni nini?

Tanzania on striking lucrative deals hatuna mfano Africa, angalia kila project tunayofanya na mnayofanya ninyi lazima iwe nusu bei na bado chetu kinakua bora na superior zaidi ya chenu, tuna power of negotiating and bargaining yaani tupo smart!

Screenshot_20240519-090441.jpg
 
Hebu tuanze kwa kulinganisha performance za ports zetu Kisha tuingie kwenye airports

Karibu sana... Anzisha tu.

Ila lazima kuwe na mlinganisho wenye viashiria vya uweledi ndani yake. Sio maneno tu ambayo yako backed up na figures ambazo kuzielezea hautaweza.
 
Usidhanie kwamba mko mbele kwenye SGR manake hatujui economic metric zenu ni gani. Tunasubiri Sana kuona volume ya mizigo na abiria mtakao safirisha kwa mwaka mmoja kisha tulinganishe.
Kumbuka electric sgr inaenda both lakes victoria na tanganyika. Hivi unajua shinyanga, tabora, dodoma, morogoro, kigoma, kagera, mara, singida kuna nini? Personally sgr imenifanya nianze kujipanga kuingia kwenye biashara basing on this corridor.
 
Back
Top Bottom