ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Niambie tu ni siku gani ATCL ilikufa? That loss making Airline has been operating yearly since 1977 and every year they make a loss. To make it worse the losses have increased since your government started buying some planes😂😂Ok sawa enjoy then 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2993397
Asante again for bringing unknown website😂😂👏👏👏Asante na ww pia 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2993399
The same way they made noise when they revived ATCL. Ungedhani wameiteka usafiri wa anga ya Dunia. Leo hii ATCL inatengeneza hasara, ndege zake zinashikwa, zingine zimepaki kwenye maeneo ya matengenezo kwa mieze minane huku pia wakisuspend baadhi ya routes za kigeni. Haya yote ni ndani ya chini ya miaka mitano.Usidhanie kwamba mko mbele kwenye SGR manake hatujui economic metric zenu ni gani. Tunasubiri Sana kuona volume ya mizigo na abiria mtakao safirisha kwa mwaka mmoja kisha tulinganishe.
Remember also ATCL has never made any profit tangu ianzishwe😂😂😂The same way they made noise when they revived ATCL. Ungedhani wameiteka usafiri wa anga ya Dunia. Leo hii ATCL inatengeneza hasara, ndege zake zinashikwa, zingine zimepaki kwenye maeneo ya matengenezo kwa mieze minane huku pia wakisuspend baadhi ya routes za kigeni. Haya yote ni ndani ya chini ya miaka mitano.
What they don't realize is, hizi biashara it's about the numbers. So far, tunawezasema sgr yetu kwa aina Fulani is making progress coz there are numbers and these numbers are only pointing to a brighter future.
Ningewashauri waache hizi kelele zao za sgr tusibiri ianze kazi rasmi Kisha waje hapa we compare notes
Hebu tuanze kwa kulinganisha performance za ports zetu Kisha tuingie kwenye airportsKunyaland haina chochote cha kujilinganisha na Tanzania katika sekta ya usafiri na huduma za usafirishaji.
Tanzania is far ahead in Logistics infrastructure and services. Hii ni kwa hakika as a pro in that industry. You need to up your game to catch up.
Endelea kulia hvo hvo ila Sisi wenye uwanja ndio tunajua hvo🤣🤣🤣🤣Asante again for bringing unknown website😂😂👏👏👏
Mwambie Mombasa port handles twice the number all their ports do when put together.Hebu tuanze kwa kulinganisha performance za ports zetu Kisha tuingue kwenye airports
Utalia Sana mwaka huu🤣🤣🤣👇👇👇Stadium haina viti alafu imeparara kweli kweli😂😂
Alafu tukiwaambia wako nyuma in terms of Stadium wanakasirika😂😂😂
View attachment 2993405
Asante kwa kuleta unknown websites😂😂😂Endelea kulia hvo hvo ila Sisi wenye uwanja ndio tunajua hvo🤣🤣🤣🤣
View attachment 2993407
Utalia Sana mwaka huu🤣🤣🤣👇👇👇
View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/657870007456702464?t=6gFhHZpP-ezxrxgnk5J2HA&s=19
Hatuwez kufanana kiwanja kina miaka 40 lakini kipo na linatumika vzr 🤣🤣🤣👇👇👇Stadium haina viti alafu imeparara kweli kweli😂😂
Alafu tukiwaambia wako nyuma in terms of Stadium wanakasirika😂😂😂
View attachment 2993405
Topic imebadilika sasa sio tena 35,000 capacity 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hatuwez kufanana kiwanja kina miaka 40 lakini kipo na linatumika vzr 🤣🤣🤣👇👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/C3IF6uoKwGr/?igsh=OWpnY2I5bmlicDJp
Kuna rangi Tanzania kweli😂😂😂Topic imebadilika sasa sio tena 35,000 capacity 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani ni Roman amphitheater😅😅
What’s with Toilet boy and Wikipedia?… every time… maybe we should call him Ichopedia…🤣🤣🤣🤣Asante kwa wikipedia 👏👏👏😂😂
Inafana na zile Greek arena za kupigana during 300B.C😂😂Kwani ni Roman amphitheater😅😅