Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Inakaa lami ama zege, ole wako uanguke wakati ukikimbia, ngozi inabakia chini.Alafu running track ni lami ama naona zangu 😳😳
Inakaa lami ama zege, ole wako uanguke wakati ukikimbia, ngozi inabakia chini.Alafu running track ni lami ama naona zangu 😳😳
Ww unatakaje ijengwe au usijengwe na useme mapema kabisa 😂😂😂😂😂Inajengwa, ila inajengwa akilini mwenu
Bongolala, niletee picha ya ambulance ndani ya Emirates stadium.Narudia kukuliza gari za ambulance na police hua zinakata wapi?? Unless we mpira hujui 🤣🤣
Ngozi ama huo ni ulemavu wa milele!Inakaa lami ama zege, ole wako uanguke wakati ukikimbia, ngozi inabakia chini.
Sasa zenye ziko na standards za kimataifa ni hizi zenu zenye hupack magari mbele ya mashabiki na running tracks za lami?Mbona unajipenyeza mzee.? Kenya haina hata stadium moja yenye iko na standards za kimataifa. 🤣🤣🤣
Bado kidogo uwanja uwekwe traffic lights manake tayari kuna parking na lami. Dah! Afcon 2027 tutashuhudia vibwangaNgozi ama huo ni ulemavu wa milele!
Kenyan Football is rising once again.
View: https://x.com/EmmanuelOdiemb1/status/1789730073517436934
Nyayo haijafail standards bongolala. It's currently under renovation in readiness for CHAN tournament. Najua inawauma sana ila metaziea tuNa kwa viwanja wanavojenga bro trust me hakuna kiwanja hata kimoja watapata approval 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hio Nyayo walifanya renovation watu wakala pesa na ila fail standards
Eti Malawi ina CAF approved stadium Kenya haina 2024,😂😂😂 na hua munadanganya muko level za singapore na MalaysiaInakaa lami ama zege, ole wako uanguke wakati ukikimbia, ngozi inabakia chini.
Kwann munafanya tena renovation wakat imefanywa juzi Tu na pesa zimeliwa 😂😂😂Nyayo haijafail standards bongolala. It's currently under renovation in readiness for CHAN tournament. Najua inawauma sana ila metaziea tu
Ingekuwa inajengwa picha zingejaa hapa lukukiWw unatakaje ijengwe au usijengwe na useme mapema kabisa 😂😂😂😂😂
Kwann muna wasiwasi Sana na tanzania
Kwann munafanya tena renovation wakat imefanywa juzi Tu na pesa zimeliwa 😂😂😂
Kwann Harambee stars waende Malawi kucheza, na hili unataka kuficha au😂😂😂
Malawi ina CAF standard stadium wakat Kenya haina na hua munapanua midomo yenu juu ya GDP Nye Nye Nye
View: https://twitter.com/matchday_africa/status/1787424908823220581?t=a6SmUvTggo6XF-HJL6SsAg&s=19
Hasira za nn SASA au ukweli hamupendi🤣🤣Kwani pesa ni za kwako bongolala? Kwenu Yemen kuna hata uwanja hadhi ya Nyayo?
Nimekuuliza ww unataka ijengwe au usijengwe jibu swali , Sisi hatuna wasiwasi tunajua yanayoendelea nashangaa ww mkenya Una wasiwasi 🤣🤣🤣 kwann munakwenda mbio Sana juu ya TanzaniaIngekuwa inajengwa picha zingejaa hapa lukuki
Eti Malawi ina CAF approved stadium Kenya haina 2024,😂😂😂 na hua munadanganya muko level za singapore na Malaysia
Ona aibu SASA inavowadinya dunia nzima inawacheka, what a failed state 😂😂😂😂
Mumeficha aibu zenu miaka kwenda miaka kurudi SASA aibu zinajionesha waziwazi, eti GDP Nye Nye Nye haya kiko wapi SASA??😂😂
View: https://twitter.com/matchday_africa/status/1787424908823220581?t=a6SmUvTggo6XF-HJL6SsAg&s=19
Our two main stadiums are all under renovations. What did you expect.Haya manyang’au yanashangaza sana. Litimu lao la taifa limekimbilia Malawi kucheza mechi sababu viwanja vyao havikidhi viwango lakini bado tu yanajisfia bila aibu, ha ha ha😎😎
Kwani Nyayo haijatoka kwenye renovation just 1 year ago au unatufanya hatujui🤣🤣Our two main stadiums are all under renovations. What did you expect.
And by the way, hubu tuoneshe kiwanja hata kimoja currently under construction hapo Tanganyika
Kwani unajisikia vibaya kukubaliana na ukweli?😎😎Our two main stadiums are all under renovations. What did you expect.
And by the way, hubu tuoneshe kiwanja hata kimoja currently under construction hapo Tanganyika