Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyayo stadium is 41 years, Cairo stadium is 60 years, Orlando stadium is 65 years. Hauna hoja 😅😅😅
Nyayo ambayo ilifanyiwa renovation na bado haikuweza kufikia CAF stadium 🤣🤣🤣

Watu walikula pesa na hakuna kitu kilifanyika Naskia munafanya another renovation ili watu wale pesa tena
 
Parking mbele ya spectators!!
Oh my goodness 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Halafu vilaza wanatupugia kele hapa hivi?
Kwani gari za ambulance na police hua zinakata wapi, nje ya uwanja au??🤣🤣🤣
 
Hebu jiulize za Emirates ama Anfield zinakuanga wapi. Umwewahiona gari mahali?
Unampeleka mbali mulize kama ashaiona Ambulance ndani ya Nyayo ama Kasarani ama any Stadium in Kenya😂😂
 
Unampeleka mbali mulize kama ashaiona Ambulance ndani ya Nyayo ama Kasarani ama any Stadium in Kenya😂😂
Mbona unajipenyeza mzee.? Kenya haina hata stadium moja yenye iko na standards za kimataifa. 🤣🤣🤣
 
Unampeleka mbali mulize kama ashaiona Ambulance ndani ya Nyayo ama Kasarani ama any Stadium in Kenya😂😂
Sheria za mpira huzijui 🤣🤣🤣🤣
Unajiona Google kwamba kila kitu unaijua wewe

Nyayo hii hapa
unnamed.jpg
images - 2024-05-18T231543.828.jpeg
 
Narudia kukuliza gari za ambulance na police hua zinakata wapi?? Unless we mpira hujui 🤣🤣
Zinakuwa outside the stadium in the parking area. Ama Tanzania na Yemen zinaingizwa ndani ya uwanja?😂😂
 
Mbona unajipenyeza mzee.? Kenya haina hata stadium moja yenye iko na standards za kimataifa. 🤣🤣🤣
Na kwa viwanja wanavojenga bro trust me hakuna kiwanja hata kimoja watapata approval 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hio Nyayo walifanya renovation watu wakala pesa na ila fail standards
 
Back
Top Bottom